Yaani jamaa anaeishi kwenye chumba kimoja nyumba ya vyumba sita, ajifungulie mlango anakutana na uso wa jirani yake upande wa pili.Kwa lugha ya taifa ya tanzania unamaanishaje
kiingerza shida sana ukizoea kutafasiri neno moja moja
Yaani jamaa anaeishi kwenye chumba kimoja nyumba ya vyumba sita, ajifungulie mlango anakutana na uso wa jirani yake upande wa pili.
haya SawaYaani jamaa anaeishi kwenye chumba kimoja nyumba ya vyumba sita, ajifungulie mlango anakutana na uso wa jirani yake upande wa pili.
Kiko na choo viko nje, unaweza kukubali kuolewa katika hali hiyo?
Huu uzi hautuhusu wanaume, tuwasikilize walioulizwa
Wanaume comments fupi fupi tu.
Kwa kweli mi nahisi kuna watu tusingezaliwa wanawake wote wange kuwa wanaangalia leo tu na sio mbele.Tusome hiyo yako fupi basi
Mwanaume ukioa mwanamke mwenye akili utafika mbaliKwa kweli mi nahisi kuna watu tusingezaliwa wanawake wote wange kuwa wanaangalia leo tu na sio mbele.
Mzee wangu alitoka kwenye chumba kimoja na kumiliki manyumba mikoa 3 tofauti , viwanja na mashamba zakutosha kabla hajafika 50yrs
Imagine if my mother angedharau chumba kimoja
Ukiona wachangiaji ni wachache usishangaeCan u marry a guy in one room? I meant face me I face u room. kitchen,toilet n bathroom outside?
Sky una mada fikirishiiiii.....khaa
Are you marrying a guy or a room????Can u marry a guy in one room? I meant face me I face u room. kitchen,toilet n bathroom outside?
Sky una mada fikirishiiiii.....khaa