Can i rely on window defender only?

Innocenthezron

JF-Expert Member
Oct 13, 2016
393
469
Wakuu nauliza je hzi window defender za window eight na ten naweza kuzitegemea katika ulinzi wa pc yangu?

Matumizi yangu ni mtandaoni kidogo sio sana maana hata nikiingia ni saa moja na webs mara nyingi ni youtube na ku google vitu. Labda na flash kuhamisha vitu kwa matumizi hayo naweza kutegema hizi window defender?

Na vipi window seven defender yake ni reliable pia??

Cc chief mkwawa
 
yap mkuu, kama huna matumizi mengi inatosha kabisa defender, hakikisha tu pc yako inakuwa up to date, virusi wengi hushambulia pc ambazo zipo outdated
 
yap mkuu, kama huna matumizi mengi inatosha kabisa defender, hakikisha tu pc yako inakuwa up to date, virusi wengi hushambulia pc ambazo zipo outdated
Na inawezekana kubadilisha spika kwenye pc na kama inawezekana gharama ina range wapi????
 
Security kwenye computer is a matter of perspective.Windows defender itaku protect na malware ambazo siganture code yake inajulikana Lakini kma haiko kwenye database then itakuambia tu everything is safe.Pia cku hzi kuna emergency ya malware ambao wana jificha kwenye kernel address space ya operating system(rootkits) kwa hyo detection ni shida sna hata kwa application kama Windows defender ambayo haiwez access the kernel access space.Pia window defender haitaku protect na exploits ambazo zitajaribu ku obtain a remote TCP shell kwenye pc yako by exploiting a vulnerability kwenye a vulnerable app
 
Yes inatosha kabisa, tena ni bora kuliko hizi AV nyingi ambazo zinakula resources bila sababu yoyote. Hakikisha windows na defender na software zengine kama browsr/adobe reader zipo updated, majority ya virus hazifanyi kazi kwa system zilizo up to date.

Pia kama sio mjuzi sana wa kutumia internet nakushauri uweke AdBlocker kwenye browser yako kama (uBlock Origin) uBlock Origin hii itazuia matangazo ambayo mara nyingi yanatumika kukutega kudownload malware.
 
Kang. Still though ata ukifanya updates possibility ipo kwasababu kuna zero-day exploits zinatumiwa na malware ku attack systems ata ambazo zpo updated(before the patch).Mi naweza kukishauri tu Innocent kuwa the best way ku protect pc yako ni ku run software chache
 
Kang. Still though ata ukifanya updates possibility ipo kwasababu kuna zero-day exploits zinatumiwa na malware ku attack systems ata ambazo zpo updated(before the patch).Mi naweza kukishauri tu Innocent kuwa the best way ku protect pc yako ni ku run software chache

Zero day zipo ila unless upo specifically targeted ni vigumu sana kuwa affected na zero day, most virus wanazopata watu ni hizi zinazojulikana, zero day zina thamani sana na zinatumika kutarget watu muhimu politicians, banks etc.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom