Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I guess it will be you ! 😎I'd like to see how many Tanzanians are foreseers and trend readers!😂
Upande wa Tanzania nakubaliana na wewe, upande wa Zanzibar ni VP wa serikali ya muungano wa sasa.Take my word guys
Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi
Tanzania 2025 Bashiru Ally and VP Makame Mbarawa
Never on earth, huyo VP atabaki kwenye nafas yake mpaka 2025.Upande wa Tanzania nakubaliana na wewe, upande wa Zanzibar ni VP wa serikali ya muungano wa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JANUARY MAKAMBAYeyote kati ya wagombea waislamu ndiye atakayekuwa rais. Muungano umeshaiharibu Tanzania. Piga ua, hakuna jina la mkrisro litakalopita uchaguzi huu. Maana yake, hakuna tume huru ya uchaguzi na CCM hawatakuwa na ubavu wa kumweka mkristo!¡
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe uzima
Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi
Tanzania 2025 Bashiru Ally na VP Makame Mbarawa
Mkuu kuwa katibu mkuu wa chama ni zaidi ya kuwa waziri.Tanganyika hayuko ndani ya cabinet, itakuwaje hii?
Mkuu kuwa katibu mkuu wa chama ni zaidi ya kuwa waziri.
Sio lazima kila rais awe waziri, kama walivyotaka kujiaminisha kuwa ukiwa waziri wa mambo ya nje wewe ni rais. Ilianza kwa Mkapa, Kikwete kisha Membe nae akadhani itakuwa.
Kuna mtu nyuma ya pazia ni mwanafunzi wa Nyerere aliyeiva.
Muda utaongea, ila Bashiru mtamsikia tu 2025.
Makonda..!
Hussein Mwinyi
Katiba hairuhusuProf. Musa Assad aka Simba
Aaah bahati mbaya sanaKatiba hairuhusu