Can a South African White Lady marry Black Guy?

establishment

JF-Expert Member
Jun 27, 2015
1,622
2,377
Wandugu nimekaa kwa muda wa miaka 4 Nchini Afrika Kusini, ni ngumu kukuta mwanaume/mwanamke Ngozi nyeusi (black) akiwa na mahusiano na mzungu/kaburu? Mwenye kujua tafadhali.
 
Umekaa kwa muda gani? Na huyo black guy unamaanisha wa wapi? Hivi unadhani pesa inashindwa kitu gani
 
Wapo wengi sana hujaizunguka south Africa yote ndo maan hujakutana nao
 
nimeishi Joburg, Hatfield= Pretoria na Durban, sijawahi kuona hizo couple za mchanganyiko. Japo kina mama MA-BLACK wana CHURA ajabu.
 
Wandugu nimekaa kwa muda wa miaka 4 Nchini Afrika Kusini, ni ngumu kukuta mwanaume/mwanamke Ngozi nyeusi (black) akiwa na mahusiano na mzungu/kaburu? Mwenye kujua tafadhali.
Mkuu kutokuona kwako couple ya black & white haijamaanisha hakuna na ni vigumu kutoka yuko South, pili mwanamke kuwa na chura si kigezo cha kuolewa wanaume wanatofautiana baadhi ya vigezo ni ndio maana wanawake wanaoelewa licha ya kuwa na maumbo tofauti tofauti
 
Wandugu nimekaa kwa muda wa miaka 4 Nchini Afrika Kusini, ni ngumu kukuta mwanaume/mwanamke Ngozi nyeusi (black) akiwa na mahusiano na mzungu/kaburu? Mwenye kujua tafadhali.
Sasa wewe muda wote unaongea kiswahili tu wabongo haya utayaona wapi?

Kwa historia ya South Africa hakuwezi kuwa nawingiliano huo kwa sasa kwa sababu watu weusi wa South Africa ni wabaguzi wanawabaguwa hata weusi wenzao, na isitoshe wazungu wana Name calling yao wanawaita walungu, hizi zote ni lugha za kibaguzi.

Hivyo basi uwezekano wa Msouth black kuolewa na mzungu inawezekana kwa tabaka la wasomi na watu wa class fulani ambao wanakutana kwenye professional zao, lakini si rahisi demu tu wa kawaida kujichanganya na mzungu.
 
kajifunze kiingereza kwanza ndugu, wewe unafikiri kisukuma unataka uongee kiingereza, ni ngumu.
Unapoandika heading ya kingereza halafu unaweka maelezo kwa kiswahili unachekesha.

Kwanza wewe kama umeishi South Africa ni wale mateja wazamiamiaji, swala la weusi na weupe kutokuwa na muingiliano wa kimahusiano sababu zipo wazi kabisa kwa mtu aliyeishi South Africa hawezi kuuliza swali la kitoto kama hili pimbi wewe.
 
Wandugu nimekaa kwa muda wa miaka 4 Nchini Afrika Kusini, ni ngumu kukuta mwanaume/mwanamke Ngozi nyeusi (black) akiwa na mahusiano na mzungu/kaburu? Mwenye kujua tafadhali.
Kwanza wewe fala ni kiazi kabisa, si kila mzungu Msouth Afrika ni kaburu, kama ulikuwa unaishi na mateja wenzio huwezi kulijuwa hili hata siku moja.

Cape town ni mji wenye idadi kubwa ya Britons South African white, wewe umekariri jina la makaburu tu. Akili zako zinakutosha kuvukia barabara.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom