Camouflagers na informers

Jamaa alifanya copy and paste ya alichokifanya huko kwao, ikawa rahisi kunusa,Ila angekuja na approach nyingine may be angefanikiwa.
Kaka Mshana hivi unaweza eleza chochote kuhudu rais Nkurunziza wa Burundi aliponusulika na kupinduliwa nini kilifanya zoezi lile lililopangwa kwa msaada wa kagame ( inasemekana ) ku '' fail ''
je ni kweli kama inavyosemekana kua TISS ndio walio okoa jahazi na kumrudisha Pierre Bujumbura?
Na kama ni kweli walihusika ni kwa faida ipi?
Ukinijibu i ll feel proudly
 
Nimeitoa huko tweeter kwa kigogo, Mshanajr we mbaya
D_XLvMRWsAA9ePU.jpeg
D_XLvP9XUAEzgTU.jpeg
 
Back
Top Bottom