Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,605
- 696,697
- Thread starter
- #261
Labda hiyo TISS ya ccm.... na pengine yenye sisitiiviiKuna watu hamjitambui kweli na msizungumze kama vi2 hamvijui, eti TISS wanaanzisha mada ya kumsema vibaya magufuli, ukiunga mkono mkono hoja wanakuchukua, labda hiyo TISS ya ccm, majukumu ya TISS ni makubwa sio kama mnavyodhani et kudeal na wanaomtusi rais