Cameron awachana viongozi wa AU!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Viongozi wa Africa waliopo kwenye mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa sijui wanajisikiaje wakati waziri mkuu wa uingereza, David Cameron, anawapiga madongo wazi wazi. Yaani Cameron anaubavu wa kuwachana chana hawa jamaa katika karne hii na wao wanapiga makofi? Africa kazi tunayo!

Cameron criticises the African Union's response to the Arab Spring.

"Many will find it hard to understand why countries in Southern Africa which have fought so hard to throw off oppression have been so slow to respond to the Arab Spring." - David Cameron, British PM at UN General Assembly. 23 September 2011

Hotuba yake nzima iko kwenye kabrasha hii ya PDF

View attachment GB_en.pdf
 
Wangemwambia k@#$nina zake. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya ukoloni. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya apartheid.
Leo anathubutu kutuambia sisi juu ya Arab spring. k^%$nina zake. Wangekuwepo leo akina Nyerere na Nkrumah wangempa jibu lake stahiki.
 
Kawachana,kwa kuwa wanawatumia watakavyo,hawana nguvu ya kusimama na kusema hapana,kwa sababu wako rahisi kuliko unavyodhania.Ukisha jirahisi kwa manufaa yako,daima utakuwa mtumwa.
 
Kawachana,kwa kuwa wanawatumia watakavyo,hawana nguvu ya kusimama na kusema hapana,kwa sababu wako rahisi kuliko unavyodhania.Ukisha jirahisi kwa manufaa yako,daima utakuwa mtumwa.

kweli kabisa kijana
 
Wangemwambia k@#$nina zake. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya ukoloni. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya apartheid.
Leo anathubutu kutuambia sisi juu ya Arab spring. k^%$nina zake. Wangekuwepo leo akina Nyerere na Nkrumah wangempa jibu lake stahiki.
Jibu muhafaka. Hawa wa sasa wote ni bendera fuata upepo. Na toka lini Cameron akawa msemaji wa Waarabu? Vumbi likitulia na Waarabu wakagundua kuwa wamepigwa changa la macho na akina Cameron hapatakalika. Ni akina Cameron hao hao watakaoendesha kampeni za kuwapinga watu wanaopigania uhuru wa kweli. Tungoje.
 
Wangemwambia k@#$nina zake. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya ukoloni. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya apartheid.
Leo anathubutu kutuambia sisi juu ya Arab spring. k^%$nina zake. Wangekuwepo leo akina Nyerere na Nkrumah wangempa jibu lake stahiki.
Alikuwa hajazaliwa, na hata kama alikuwa amezaliwa alikuwa mtoto. Tayari leo ni Waziri Mkuu wa Uingereza wakati Africa bado inaongozwa na vijibabu!
 
Hana lolote,

Cameroon is greedy, mlafi mkubwa wa resources..shetani in short
 
Kama kawaida "Kaka etu" akawa ana "batasamu" na kupiga makofi tu, wengine walikua wanasinzia kutokana na ulevi na uchovu, wengine lugha haipandi na vile vidubwana vya kutafsiria hawawezi kuvitumia! Duh, kaaazi kweli kweli! Haya walipwe per diem zao warudi gizani huku!
 
Wangemwambia k@#$nina zake. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya ukoloni. Alikuwa wapi tulipokuwa tunateseka chini ya apartheid.
Leo anathubutu kutuambia sisi juu ya Arab spring. k^%$nina zake. Wangekuwepo leo akina Nyerere na Nkrumah wangempa jibu lake stahiki.

Bahati mbaya sana wanaume wamekwisha tangulia mbele ya haki ; tuliobakia nao ni masharobaro kazi kuuza sura na kupokea rushwa za suti na ngono, na sisi tunakubali kuwa hawa ndio viongozi wetu!!
 
Nashangaa sana, muuza sura wetu ana mpango wa kuhudhuria mkutano wote, maraisi serious wote wanahutubia tu na kujikata!!

After all, anapunguza kero za failure ya utawalawa wake akiwa NY!!
 
Viongozi wa Africa waliopo kwenye mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa sijui wanajisikiaje wakati waziri mkuu wa uingereza, David Cameron, anawapiga madongo wazi wazi. Yaani Cameron anaubavu wa kuwachana chana hawa jamaa katika karne hii na wao wanapiga makofi? Africa kazi tunayo!

Cameron criticises the African Union's response to the Arab Spring.

"Many will find it hard to understand why countries in Southern Africa which have fought so hard to throw off oppression have been so slow to respond to the Arab Spring." - David Cameron, British PM at UN General Assembly. 23 September 2011

Hotuba yake nzima iko kwenye kabrasha hii ya PDF

View attachment 37687
Kwanini hawakutoka nje hao "miafrika" mbona wazungu walitoka wakati Mbabe wa Iran alipoanza kuchana. Jamani Afrika mie ningekuwa na uwezo ningeipotezea yote duniani isiwepo; huku kudhalilishwa huku.
 
Back
Top Bottom