Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Viongozi wa Africa waliopo kwenye mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa sijui wanajisikiaje wakati waziri mkuu wa uingereza, David Cameron, anawapiga madongo wazi wazi. Yaani Cameron anaubavu wa kuwachana chana hawa jamaa katika karne hii na wao wanapiga makofi? Africa kazi tunayo!
Cameron criticises the African Union's response to the Arab Spring.
"Many will find it hard to understand why countries in Southern Africa which have fought so hard to throw off oppression have been so slow to respond to the Arab Spring." - David Cameron, British PM at UN General Assembly. 23 September 2011
Hotuba yake nzima iko kwenye kabrasha hii ya PDF
View attachment GB_en.pdf
Cameron criticises the African Union's response to the Arab Spring.
"Many will find it hard to understand why countries in Southern Africa which have fought so hard to throw off oppression have been so slow to respond to the Arab Spring." - David Cameron, British PM at UN General Assembly. 23 September 2011
Hotuba yake nzima iko kwenye kabrasha hii ya PDF
View attachment GB_en.pdf