S sindibari Member Dec 11, 2013 27 7 Mar 10, 2014 #1 vipi wadau hii camera wameindoa nini..naitafuta lakini sijaipata,nakuta nyingine ambayo imefanana nayo ambayo ubora wake haiko poa
vipi wadau hii camera wameindoa nini..naitafuta lakini sijaipata,nakuta nyingine ambayo imefanana nayo ambayo ubora wake haiko poa
Kashi JF-Expert Member Jan 6, 2013 897 741 Mar 17, 2014 #4 Hii kitu Mimi huwa siielewi kabisa jinsi inavyotumika.Naombeni elimu tafadhali.
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Aug 9, 2007 18,698 8,843 Mar 20, 2014 #5 Hii kitu wadada wanatuibia sana online, inawafanya wanaonekana wakali ukikutana nao face to face utatamani ukimbie.
Hii kitu wadada wanatuibia sana online, inawafanya wanaonekana wakali ukikutana nao face to face utatamani ukimbie.
kat.ph JF-Expert Member Dec 19, 2013 2,224 1,672 Mar 20, 2014 #6 Chezea 360 wewe ...... Utadeki bahari
Sista JF-Expert Member Sep 29, 2013 3,206 1,029 Mar 20, 2014 #7 cheki simu yako ndio itakuwa haina flash. ubora utatoka wapi bila hiyo?