Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Habari wanajamvi.
Nina CM yangu Tecno k9 spark. Tokea Jana nikifungua kamera haipigi picha. Na tochi haitaki. Kwa mwenye kujua tatizo linakuwa lipi naomba msaada.
Au je ninaweza kwenda makao makuuu ya Tecno na wakanisaidia kutatua tatizo langu.
Na makao makuuu yao yako wapi kwa DAR.
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina CM yangu Tecno k9 spark. Tokea Jana nikifungua kamera haipigi picha. Na tochi haitaki. Kwa mwenye kujua tatizo linakuwa lipi naomba msaada.
Au je ninaweza kwenda makao makuuu ya Tecno na wakanisaidia kutatua tatizo langu.
Na makao makuuu yao yako wapi kwa DAR.
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app