kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
mkuu vip umeshapataga mtu? mm nilikuwa na aidea nzuri tu jinsi ya kutengeneza pesa na camera
Upo mkoa gani
mkuu vip umeshapataga mtu? mm nilikuwa na aidea nzuri tu jinsi ya kutengeneza pesa na camera
nipo singidaUpo mkoa gani
ThanksLabda kwanza nikuweke sawa
1. Biashara ya picha SIO BIASHARA NDOGO
2. Unapoomba ushauri USIONESHE UNAJUA
Sasa nikushauri, sasahiv camera nzuri ni zile za mfumo wa DSLR(Digital Single Lens Riflex)
Na kuna brand nying mf. Canon, Nikon, Sony, Samsung, Pentax, na nyingine nyingi.
Kwa mahitaji camera ya still pictures nzuri ya gharama nafuu ipo Nikon D40,D3100 hizi ni camera nzuri sana
Tunajifunza mengiZa muda huu,
Mtoa mada na wengineo..!
Naomba nitoe ushauri kidogo juu ya hili bandiko; Vitu vya kuzingatia unapotafuta camera especially DSLR camera
1. Kwa kuanzia hakikisha camera unayonunua ina kianzio cha 16 Megapixel
2. Wekeza zaidi kwenye lens achana na kuhangaika kununua camera kubwa wakati unaanza business,uzuri wa DSLR camera ukitaka ku-advance basi unabadili tu Body maana lens utakuwa nazo
NOTE: Epuka kuanza na camera kubwa kama zilizotajwa na wadau hapo juu Eg. canon EOS 5D Mark 3,2 7D au Nikon D7100, D7200 ni aghali sana hivyo kama huna hela ya kutosha achana nazo, badala yake tafuta camera za kuanzia Eg Canon 1300,Canon 77D, Canon 80D, Canon 750D, Canon EOS 800D, Canon EOS 200D/300D, Canon EOS 700D
au Ukipenda Niko basi Nikon D3200, D3300 au D5600 (pia Nikon D3100 ila tafuta Prime Lens/ Lens Kubwa)
Hizo camera ambazo nimekutajia ni camera nzuri kwa kuanzia na bei zake si mbaya zingonga still na Video kiwango cha 1080p (yaan full HD. Kama una Link marekani Kuna Amazon wanauza hizo camera with full Package( Camera body,lens,wide angle lens, tripod, Flash and 32GB memory card. Kwa Amazon ivyo vitu unavipata betwen $350-400.
Ambapo ukinunua tanzania, huwa hupewi package ya namna hiyo, watakupa tu Camera peke yake tena wakati mwingine Bila Lens so cost ya kuanza kutafuta vitu vingine inakuwa Kubwa.
Personally mimi ni Mfanyakazi nimeajiriwa, ila nafanya business ya photographing and Videographing, nilianza na Nikon D300 for still na D3100 for Video, ni camera ndogo kiasi kwamba wakati mwingine wapiga picha wengine wakiona picha zangu wanashangaa nikiwaambia kuwa zimepigwa kwa Nikon D300, ila nimewekeza kwenye Lens kubwa baasi, tena huwa sifanyi Editing kabisa editing yangu ni from my camera setting tu baasi baada ya hapo nahamisha picha kwenye computer na kuzichambua na kupeleka studio kwa kusafisha, mambo ya Photoshop sijui huwa napiga kwa picha za advert tu (mitandao ya kijamii etc)
MTAZAMO wangu Camera kubwa sio ishu as long as camera ni dslr, una lens za kutosha 18mm-55 and 55-200, pixel from 16 na kuendelea nakuhakikishia utafanya kazi nzuri sana, kitu nilicho note kwa Wapiga picha wengi hawataki kuwekeza kwenye knowledge ya kazi yao, dslr zina setting nyingi sana kiasi kwamba ukiwa unatafuta elimu kuhusu matumizi ya hiyo camera yako unajikuta unafanya kazi nzuri hadi watu watashangaa.
Kama upo serious na hiyo kazi, una customers base njoo inbox nitakukabidhi vifaa vya kisasa ikiwemo canon new model ( 5D mark 3)..njoo na wazo tufanye kazi..sharti ni moja tu uje na idea ya namna gani tutapata pesa na idea iwe realistic
Bro naomba Msaada
bro Mimi naweza kufanya kazi hiyo Sema sina vifaa
Angalia usije olewaJaman namimi napenda camera sana
Unajua mkuu issue sio bei bali ni kile unachopata na bei unayotoa.Vipi kuhusu Nikon B500 16mp, nimeona mtandaoni kariakoo mall inauzwa 630k, nataka nichukue nitumie kupiga picha mgando tu kwenye senta ndogo, sipo mjini.
Ubora wake upoje? Maana humuzimezungumziwa za viwango vya juu tu za 'mjini'
Ubarikiwe sana mkuu!Unajua mkuu issue sio bei bali ni kile unachopata na bei unayotoa.
Mfano wewe umeona inauzwa laki 6 na bei ni rahisi ila hio camera nje ni around dola 200, hivyo unaweza uziwa used kwa laki 6 na ukawa umetoa Hela nyingi kuliko unachopata.
Pia ni Digital camera Ya kawaida ambayo pengine quality yake ya Picha inapitwa na Simu nyingi tu. Haina raw na features nyingi utakazopata kwenye Dslr.
Tafuta Dslr Camera, Hata ikiwa ya Kizamani itakupa Picha Nzuri na kazi yako itaheshimika.
Kwa kariakoo mall
Nikon D3500 W/ AF-P DX NIKKOR 18-55mm lens – Kariakoo Mall
Unapata Dslr second hand kwa laki 5 mpaka 6.
Ina bei gani hii mkuu?kwa kuanzia unaweza kuanza na canon 80D DSLR
Na hii bei gani?Canon EOS 90D DSLR Camera with 18-135mm Lens
ni latest camera ya company hiyo kwa sasa iko juu kidogo lakini baada ya kama miezi sita itashuka beiNa hii bei gani?
kwa amazon unaweza kuipata kwa 800kIna bei gani hii mkuu?
Sawa. Asante sana.kwa amazon unaweza kuipata kwa 800k