Youth Worker Tanzania
Member
- Nov 2, 2020
- 68
- 90
Wakuu Habari,
Kama kuna mtu ambaye amewahi kusoma college hii inayotoa Kozi zake kwa mfumo wa Online,Naomba atusaidie juu ya eligibility yake na equivalency ya certificates zake kwa vigezo vya hapa nchini.
Mfano Kama mtu amesoma Diploma, Au degree chuo hiki,Atahesabika kama muhitimu wa ngazi gani kwa standard za Tanzania?!.
Kama kuna mtu ambaye amewahi kusoma college hii inayotoa Kozi zake kwa mfumo wa Online,Naomba atusaidie juu ya eligibility yake na equivalency ya certificates zake kwa vigezo vya hapa nchini.
Mfano Kama mtu amesoma Diploma, Au degree chuo hiki,Atahesabika kama muhitimu wa ngazi gani kwa standard za Tanzania?!.