mzungukichaa
Member
- Nov 8, 2010
- 57
- 27
Ni wazi kwamba namba yoyote ya simu huwezi itumia more than 3 days kama haijawa registered.
Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.
Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.
Otherwise it is a system at work!
Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.
Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.
Otherwise it is a system at work!