Call logs tu zatosha kukamata waliomsulubu Dr. Ulimboka

mzungukichaa

Member
Nov 8, 2010
57
27
Ni wazi kwamba namba yoyote ya simu huwezi itumia more than 3 days kama haijawa registered.

Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.

Otherwise it is a system at work!
 
sitegemi hawa jamaa watatoa majibu ya kuridhisha kwani naamini ni wao wenyewe wanahusika na hili tukio ,
 
Ni wazi kwamba namba yoyote ya simu huwezi itumia more than 3 days kama haijawa registered.

Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.

Otherwise it is a system at work!

... Unachekesha Sir Mwema hana ujuzi huo, vinginevyo angekuwa on top of the game kwenye wizi wa mtandao wanabaki kutoa takwimu tu hawajua wata solve vipi hilo tatizo, wao wako na inteligensia za ubabaishaji tu, madhali Polisi ni EX-Std VII na suspects ni graduates usitegemee mapinduzi katika kukabiliana na uhalifu mapaka TZ itakapokubali kubadilika kwa kila afande wa Polisi kuacha mtoto wake anapostaafu ndani ya Polisi kuendeleaza u-chifu katika Polisi.
 
Simu ni njia nzuri sana ya ku trace wahalifu; wengi tunajua hili. Waliolipua ubalozi wa Marekani pale Salender Bridge tunajua walikamatwa kwa tracer ya simu. Tunajua Pia Osama Bin Laden alipatikana kwa tracer ya Simu. Tatizo tulilo nalo hapa Tanzania ni competence ya hawa polisi wetu standard seven failure na Division 0 za Form IV. Tracer ya bomu la Salender Bridge ilifanywa na FBI. Police wa Tanzania walikuwa wanashindikiza tu operation.

Ukichanganya ufinyu huu wa uelewa wa hao polisi na hofu kuwa Waliofanya uhalifu kumtesa Dr. Ulimboka ni haohao polisi na Usalama wa Taifa, Tracer ya simu siyo option kabisa. Lakini pia hapa Tanzania kuna urahisi mkubwa wa kusajili simu kwa majina feki. Sidhani kama option ya tracer ya simu italeta tija.





Ni wazi kwamba namba yoyote ya simu huwezi itumia more than 3 days kama haijawa registered.

Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.

Otherwise it is a system at work!
 
... Unachekesha Sir Mwema hana ujuzi huo, vinginevyo angekuwa on top of the game kwenye wizi wa mtandao wanabaki kutoa takwimu tu hawajua wata solve vipi hilo tatizo, wao wako na inteligensia za ubabaishaji tu, madhali Polisi ni EX-Std VII na suspects ni graduates usitegemee mapinduzi katika kukabiliana na uhalifu mapaka TZ itakapokubali kubadilika kwa kila afande wa Polisi kuacha mtoto wake anapostaafu ndani ya Polisi kuendeleaza u-chifu katika Polisi.
Sidhani kama wanahitaji huo ujuzi,wakitaka hizo information/logs.Wana enquire kwa kampuni za simu,just like unapoletewa bill ya postpaid line,waweza kuomba logs ili kuhakikisha kama bill yako ni sahihi au hapana.
 
Ni wazi kwamba namba yoyote ya simu huwezi itumia more than 3 days kama haijawa registered.

Nikikumbuka enzi hizo nafanya kazi ya kupigisha simu, tulikuwa tunapata a summary ya calls zote kutoka makampuni ya simu kila mwisho wa mwezi.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi ukiangalia logs za call zilizoko kwenye mitandao ya simu,unaweza kuwapata kirahisi sana chain nzima ya waharifu waliohusika na kumsulubu Dr. Siamini kama uchunguzi huu unaweza chukua more than 1 day.

Otherwise it is a system at work!

Hapo kwenye Red ndiyo yenyewe. but the bottom line remain that lazima wajulikane even if it was the system!
Call logs zinazotakiwa ziangaliwe kwa ajili ya uchunguzi ni za Yule aliyempigia simu Dr. Ulimboka, ya Dr. Ulimboka yenyewe, Dr. Deo (asije kuwa na yeye alitumika) na ACP Hemed Msangi.

Tatizo ni nani anatakiwa kufanya huo uchunguzi? kwa kuwa system ndiyo inayotuhumiwa, na system hiyo hiyo ndiyo inayofanya uchunguzi sidhani kama wanaweza kuja na outcome ya kweli!
 
Sidhani kama wanahitaji huo ujuzi,wakitaka hizo information/logs.Wana enquire kwa kampuni za simu,just like unapoletewa bill ya postpaid line,waweza kuomba logs ili kuhakikisha kama bill yako ni sahihi au hapana.

Hilo pia linataka akili, na akili ya kufikiri Polisi wa TZ hawana ni ubabe tu na kujiona wapo juu ya sheria read between the lines kauli zao utajua kama Polisi wetu na wagagagigikoko, na bet kama utapana lolote la maana kwenye tume ya kova
 
Suala la Uli liko wazi ndo maana serikali inajitaidi kulipotezea!
 
Hapo kwenye Red ndiyo yenyewe. but the bottom line remain that lazima wajulikane even if it was the system!
Call logs zinazotakiwa ziangaliwe kwa ajili ya uchunguzi ni za Yule aliyempigia simu Dr. Ulimboka, ya Dr. Ulimboka yenyewe, Dr. Deo (asije kuwa na yeye alitumika) na ACP Hemed Msangi.

Tatizo ni nani anatakiwa kufanya huo uchunguzi? kwa kuwa system ndiyo inayotuhumiwa, na system hiyo hiyo ndiyo inayofanya uchunguzi sidhani kama wanaweza kuja na outcome ya kweli!





Polisi hawatafanya uchunguzi. Hii ni tume ya ku-buy time watu wasahau tatizo, na kwa bahati mbaya sana watanzania ni wasahaulifu sana. Na matokeo ya huo uchunguzi feki yatapotoka yatatumika kuficha ukweli kwa mojawapo ya njia mbili za Propaganda techniques za watawala dhalimu: watatumia ama Black Lie, ama White lie. Mbinu hii ya black lies, white lies na ku-buy time kwa vitume feki ilitumika sana wakati wa utawala dhalimu wa makaburu kule Afrika Kusini (Tazama: 'Inside Boss', Gordon Winter, London).

Tuna Tatizo kubwa hapa! Inatakiwa tu iundwe tume independent, na iwe na experts wa Criminology kutoka nje ya hii nchi yetu inayonuka rushwa.
 
Si ajabu ukasikia askari wetu mmoja asie muaminifu alirubuniwa na genge la wahalifu ili kumuibia Dr kwamba walielekezwa na mtu wasiyemfahamu kuwa wakati huo Dr alikuwa anaenda kuchukua pesa huko Lidaz. Baada ya kuzikosa ndio waliamua kumtesa ili aseme pesa ziko wapi na walipogundua kuwa walidanganywa wakaamua kumtupa porini AU

Utasikia alikuwa na ugomvi binafsi wa kimapenzi/ Fedha na watu ambao waliamua kukodi wahalifu wakishirikiana na mmoja wa mtumishi wetu asie muaminifu wamdhuru kwa lengo la kulipiza kisasi, Hivyo watu hao wengine wamekimbia nje ya nchi lakini huyu askari aliekiuka misingi ya utumishi taratibu zinafanyika kumuwajibisha sheria itachukua mkondo wake ikiwemo na kumfikisha mahakamani.......... Na umma utafahamishwa
 
haraufu ya maanadamanao ya nchi nzima kama serikali yetu haitusikilizi naiona kabisa
 
Si ajabu ukasikia askari wetu mmoja asie muaminifu alirubuniwa na genge la wahalifu ili kumuibia Dr kwamba walielekezwa na mtu wasiyemfahamu kuwa wakati huo Dr alikuwa anaenda kuchukua pesa huko Lidaz. Baada ya kuzikosa ndio waliamua kumtesa ili aseme pesa ziko wapi na walipogundua kuwa walidanganywa wakaamua kumtupa porini AU

Utasikia alikuwa na ugomvi binafsi wa kimapenzi/ Fedha na watu ambao waliamua kukodi wahalifu wakishirikiana na mmoja wa mtumishi wetu asie muaminifu wamdhuru kwa lengo la kulipiza kisasi, Hivyo watu hao wengine wamekimbia nje ya nchi lakini huyu askari aliekiuka misingi ya utumishi taratibu zinafanyika kumuwajibisha sheria itachukua mkondo wake ikiwemo na kumfikisha mahakamani.......... Na umma utafahamishwa


Ha ha ha ha. Good imagination.

Lakini ujue serikali zinapoamua kusema uongo sharti la kwanza huwa uongo ufanane sana na ukweli. Na kama njia za kuongopa zikibana sana mwenye taarifa za uhakika hunyang'anywa uhai kulinda maslahi makuu ya taifa (noooo... maslahi makuu ya watawala waliofanya blander.)

Hebu tukumbushane; hivi katika kesi ya kina Zombe hakuna askari aliyeuliwa katika kazingira ya kutatanisha?
Hii kesi ya ulimboka haitaisha vizuri pia nakuapia
 
Nina hakika, katika hili kuna watu wa mitandao ya simu pia wana ukweli. Si vijana wa information technology au telecom tu walioko mitamboni,bali mameneja kadhaa au mkurugenzi mkuu wa mtandao aliokuwa anatumia dr.
 
Nina hakika, katika hili kuna watu wa mitandao ya simu pia wana ukweli. Si vijana wa information technology au telecom tu walioko mitamboni,bali mameneja kadhaa au mkurugenzi mkuu wa mtandao aliokuwa anatumia dr.



Sijakusoma. Hebu fafanua....
 
Back
Top Bottom