Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Dokta wa ukweli chukua nchi huyu dokta feki kshindwa linda mipaka ya nchi yetu kabisaaa
Well said Mr Chama i appeciate your post.let take an example of ATC &TRC....kampuni halina ndege hata moja ila lina wafanyakazi na kila siku wanaenda kazini na mwisho wa mwezi wanakula mshahara? wtf are we doing ? tu improve kwanza barabara ambazo tunazo tayari na ni mbaya hazipitiki kuliko kun'gan'ganiza barabara ndani ya mbuga wajameni
barabara wanajenga wao tena bure kabisa.
Eti "" The United States has expressed concerns to Tanzania's government about the impact of its plan to build road through the Serengeti that environmentalists say could affect the famed wildebeest migration and threaten endangered species"" this to me seems another nonsense.
Hivi hawa wamarekani wanatoa wapi ujasiri wa kusema wanalinda mazingira na hao species wanazosema.....hivi hawajui kweli ni kiasi gani cha uharibifu wanachangia ktk kuvuruga mfumo wa hali ya hewa(ambao unazidi kuumiza viumbe walioko Serengeti na sehemu nyingine) kwa kudondosha mabomu Iraq, Afghanistani, Pakistani na sasa Libya...hivi wanadhani sisi ni mambumbumbu kiasi cha kutoona wanayofanya.....
Tanzania yote ina hifadhi za taifa, siyo rahisi kujenga barabara tz bila kupitia hifadhi za taifa. mikumi , udzungwa, katavi zote humo barabara zimepita hifadhini na hatujaona tatizo lolote.Hivyo barabara hiyo ijengwe na hakuna madhara yoyote na zaidi ya hayo itasaidia usafiri wa uhakika wa kwenda hifadhini.