Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefany ndio ila tulejesh mlejesho humukwenye huu uzi wapo kama watatu hatuwezi kosa wote asee
pamoko japo nna 40% uez pata 37 mwenzio ana 51 bdo ukawa na hopeNimefany ndio ila tulejesh mlejesho humu
Kwani matokeo yenu ya oral yametoka?pamoko japo nna 40% uez pata 37 mwenzio ana 51 bdo ukawa na hope
Oral interview ina jumla ya marks ngap? Kwani mliambiwa mtajumlishiwa na practical?saw ila kwa watu 200 kuna watu 85 wanajua lugha ya malikia vizuri japo sina imani kulingana na level ya elimu, na hao kuna watu 50 wamepga vizuri mgulani, japo ngoja tusubili ila mi sikumaliza ata dk.3
bado matokeo yote mpka 3-4 weeksKwani matokeo yenu ya oral yametoka?
practical 60 na oral 40, walisema watajumulisha ila hakuna mtu mwenye uhakika, maana wengne wanasema hatua ikipita imepita ila kipindi tuko mgulani HR wa utumishi alsema watajumulisha ila hakuna mwenye uhakkaOral interview ina jumla ya marks ngap? Kwani mliambiwa mtajumlishiwa na practical?
Dogo usiwe mbishi sana....wewe tangu mwanzoni nakuona unabishana tu humu na watu wanaojua hayo mambona unajua account tech, control tower, occ officer, nurse midwife, lab tech, operation clerk, technician civil, tech mechanical, tech electrical, fire fighter, artisan 01 electr, pamoja na driver wote ao walkua chini ya 100 ko napinga yule alosema kada zote zlkua chini ya 60
mzee watu ndo wanabishana na mm ndo maana nakua dilemaDogo usiwe mbishi sana....wewe tangu mwanzoni nakuona unabishana tu humu na watu wanaojua hayo mambo
mijucho miwili kivipi, unajua zamani walikua kila stage kinajitegemeaaa ila kwa hii ya tpa practical na oral ni kama Ca na UE
na uyu apa unamuonaMdau wangu aliiona karatas yenye majina yetu, alikua karibu na msaili aliyetuita majina.
Sisi wamechukua written performance watajumlisha na oral performance then watagawa kwa mbili.. Wastan wako ndo your final results, labda ndo utaratibu mpya..
So aliyepasua written ana possibility kubwa ya kushinda
Dogo usiwe mbishi sana....wewe tangu mwanzoni nakuona unabishana tu humu na watu wanaojua hayo mambo
Interview Kama Paper Za National Unajipa Matumaini Unapiga 1 Result Ikitoka Una 3
Ni kweli mkuu,form 4 ndio fundamental ya elimu zotemtihani ni form four ata kama vyeti wengi wanasema havisaidii sawa ile kile kinajiuza bhana hasa hasa kikiwa na 1 au 2
asee nmeona kaz ya tanroads office assistant II (3 post) ad kufagia pamoja na kupanga mafail sifa cheti cha 4m 4, iv awa tanroads wana mshahara kama kuanzia sh.ngapi maana hawajaandika mambo ya renumeration