Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

saw ila kwa watu 200 kuna watu 85 wanajua lugha ya malikia vizuri japo sina imani kulingana na level ya elimu, na hao kuna watu 50 wamepga vizuri mgulani, japo ngoja tusubili ila mi sikumaliza ata dk.3
Oral interview ina jumla ya marks ngap? Kwani mliambiwa mtajumlishiwa na practical?
 
Oral interview ina jumla ya marks ngap? Kwani mliambiwa mtajumlishiwa na practical?
practical 60 na oral 40, walisema watajumulisha ila hakuna mtu mwenye uhakika, maana wengne wanasema hatua ikipita imepita ila kipindi tuko mgulani HR wa utumishi alsema watajumulisha ila hakuna mwenye uhakka
 
na unajua account tech, control tower, occ officer, nurse midwife, lab tech, operation clerk, technician civil, tech mechanical, tech electrical, fire fighter, artisan 01 electr, pamoja na driver wote ao walkua chini ya 100 ko napinga yule alosema kada zote zlkua chini ya 60
Dogo usiwe mbishi sana....wewe tangu mwanzoni nakuona unabishana tu humu na watu wanaojua hayo mambo
 
Mdau wangu aliiona karatas yenye majina yetu, alikua karibu na msaili aliyetuita majina.
Sisi wamechukua written performance watajumlisha na oral performance then watagawa kwa mbili.. Wastan wako ndo your final results, labda ndo utaratibu mpya..

So aliyepasua written ana possibility kubwa ya kushinda
na uyu apa unamuona
 
mtihani ni form four ata kama vyeti wengi wanasema havisaidii sawa ile kile kinajiuza bhana hasa hasa kikiwa na 1 au 2
 
asee nmeona kaz ya tanroads office assistant II (3 post) ad kufagia pamoja na kupanga mafail sifa cheti cha 4m 4, iv awa tanroads wana mshahara kama kuanzia sh.ngapi maana hawajaandika mambo ya renumeration
 
Tanrod mkoa gn na upo teyari kwenda mkoani
asee nmeona kaz ya tanroads office assistant II (3 post) ad kufagia pamoja na kupanga mafail sifa cheti cha 4m 4, iv awa tanroads wana mshahara kama kuanzia sh.ngapi maana hawajaandika mambo ya renumeration
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom