jonx
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 204
- 163
ko oral na practical watamulisha wapate mia sio au zile za practical hamna
Ila kiongozi saivii nasikiaa TPA nao wameomba kuwekwa kwny mtiririko na ndomaana practical zote ni chini ya 60, it means oral itakua chini ya 40.....japo zamani haikua hivo...ata ukiangalia matokeo ya practical ya zamani yanakuaga chini ya 100.... ila kwa haya tu ya tpa ndo ambayo yapo chini ya 60 , ishu ni kwamba tpa na utumish wamegawana portion...tpa kwa practical na utumish kwa oral ndomana marks zinakua hvo hvo...(ila written haiusiki apo)