Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wadau? nimepigiwa cm leo saa nne na watu wa EFC kwa ajili interview kesho saa tatu lakini mimi nipo Iringa.Anaewajua vizuri hawa jamaa anijuze kama vipi nisafiri jioni ili kesho niwe dar
Mkuu unamaanisha nini
unaposema "anaewajua vizuri hawa jamaa" kwan wakati unapeleka barua kwao
hukuwajua?
Sent from my iPhone using JamiiForums app.
nahis ungekua na jb zur zaid lakumjibu au kama cvyo ungepiga kimya tu ungekua wise zaid mkuu
sio kwamba nimekuja kuongeza idadi ya post nilitaka kujua payment na kazi zao zpo vp coz nishawahi fanya kazi FINCA na saiz nafanya business iringa
bro, umesema umewahi kufanya kazi finca hebu nipatie uzoefu, wanalipaje finca na utendaji wao wa kazi ukoje? Maana hawa jamaa wameniita interview this week, nipeni hints za finca wakuu maana hapo juu nimeona finca ikifananishwa na brac na pride jaman
mkuu finca loan office/credit officer anapokea kuanzia laki sita akiwa imeshakatwa kila kitu ila inategemea na product unayo itwa bl.vb au sgl mishahara inatofautiana,kwa finca loan officer kidogo wanaangaliwa sana.