Call back ringtone

Pitz

Member
Feb 11, 2015
6
1
Naomba kuhoji, ni kwa nini hii mitandao ya simu wanatuwekea call back ringtone ambazo mwenye simu hata hana habari. Nyimbo zingine zinakera kweli unapompigia mtu harafu inaanza kuimba. Haki za wenye simu hazijaingiliwa hapa?
 
Kama ni kweli sio sawa,ila mara nyingi huwa zinakuwepo baada ya wewe kuomba HUDUMA husika.Wasiliana nao wakutoe kwenye huduma
 
Back
Top Bottom