Cakes for devorce..

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
ImageUploadedByJamiiForums1370569898.381841.jpg

.......
 
Maana yake baada ya kusign divorce mnasherehekea? ikiwa hivyo nina daught hata kwenye msiba kutakuwa na kukata keki watu wataanza kusema haya mama na baba wa marehemu wapite mbele kulishwa keki.
Najiuliza keki ni tamu na ukilishwa au ukila unasikia utamu unatabasamu sasa pale unakuwa na mtu mliyegombana na mnaachana mkianza kulishana keki ya utamu ili kuachana si mtalishana denda tena aaaah mambo ya wazungu haya kichwa kinauma!!
 
Back
Top Bottom