mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
Mkuu hii nchi sheria nyingi zina matobo hao jamaa nahakika hawakutoka nje ya sheria walikaa chini wakaitafskari hii sheria then wakafanya yao hata hospital wauuguzi wakiamua kufata taratibu mtaudumiwa watu wa wili then mda wa chai wakirudi wanaudumiwa wawili tena mda wa chakula Cha mchana akirudi ataudumia wawili mda wa kutokaKwanini wasihojiwe na kufunguliwa mashitaka kama wameenda kinyume na taratibu ? Na wahojiwe je ni kweli ni mil 215 au kuna zaidi
Na wale wa bot waliokuwa wanachota ela kila siku imefikia wapi?
vidokozi na vijizi vinakamatwa Kwanini hawa wafujaji mashirika ya umma , taasisi na halmashauri wasikamatwe?