Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,435
Ndugai alitumia shs ngapi kwenda India? tuanzie hapo
Huyo alikuwa fisadi mkuuWalijilipa huyo RIP akiwa kwenye kiti wala hawakumuogopa . kama ambavyo mlidanganywa
Alisema atatoa orodha ya wachangiaji mpk leo kimyaKama watu watatu tu ni mapesa yote hayo vipi ile royo tuhuwa
Wiki mbili marekani, Arusha, Zanzibar na Dar.
Kwa msafara wote ule.
Ndio maana hatupewi majibu mpaka sasa.