CAG: Uwanja wa Ndege Chato ni mradi usio na faida

Amina, Mwenyezi Mungu amtunze Mama Samia
Siyo kumtunza tu wakati anatufanyia mabaya, no inabidi ajifunze kwa mtangulizi wake kuwa kuwafanyia mabaya unao waongoza ni dhambi kwa muumba.
 
Na kila mtu atalipwa kwa aliyoyatenda.Usisahau hilo. Ni Allah huyohuyo aliyemtaja vibaya Firaun mpaka kwenye vitabu vya dini ili watu wajao wajue kuwa Farao alikuwa mbaya. Na Allah kawataja vema watu wema.

So, ukiishi vibaya utataja vibaya na ukiishi na watu vizuri utataja vizuri.tujitahidi tuishi vizuri na tusiumize watu kwasababu ya vyeo vyetu,vitaondoka na sisi tutaondoka
 
huo ushauri ni wa hovyo. CAG yupo kikatiba na anafanya kazi yake vizuri. Sukuma Gang mmetomaswa kidogo tu mnasisimka. Tulieni mpigwe show
wewe naona unasumbuliwa na ugonjwa wa kusumbuliwa na sukuma gang kiasi kuwa kila anayesmbua roho yako kwa jambo lolote atakuwa ni sukuma gang tu .

Huu ukaguzi wa CAG kukagua mradi mmoja na kuutolea conclusian bila kuonyesha kuwa amekagua mirtadi yote ni tatizo kabisa. Nitaridhika na ukaguzi huo iwapo ataonyesha kuwa amekagua viwanja vyote vya ndege na kuona vyenye kuingiza faida na faida na visivyo ingiza faida. Haiwezekani alete ripoti ya uwanja mmoja tu ambao inajulikana kuwa uanalalamikiwa kisiasa. After all viwanja vya ndege ni infrastractural investements ambazo faida yake haipimiwi kwa mwaka mmoja tu ulioisha. Je ameshakagua barabara zote zilizojengwa na viwanja vyote na kuona kuwa kweli vina faida?

Kuhusu ofisi ya CAG kulaumiwa kutumika vibaya ni jambo limeshaongelewa sana, na kama wewe una amini kwamba kuwepo kwake kikatiba ni warrant ya kutolalamikiwa, basi uslialamikie jambo lolote lililofanyika kikatiba.
 
Ukweli ni kwamba huo uwanja hata ukikamilika kwa 200%, kama hauna faida za kiuchumi, ni hasara tu kwa Taifa. Utafifia mwaka baada ya mwaka kwa kukosa ndege na wasafiri, na mwisho utakufa.

Ni sawa ukajenge uwanja mzuri wa mpira wa miguu kama wa Arsenal Nyarugusu, itakiwa ni uharibifu wa pesa, uwanja hautageuka kuwa timu, mashabiki au wachezaji wa mpira. Mambo kama hayo yanafanywa na watu wajinga, watu waliokosa uelewa.

Tatizo inaonekana huelewi ni nini kinasababisha kingine. Fikiria, marehemu alilazimisha jengo kubwa zuri la CRDB bank kujengwa Chato, je, kutokana na jengo hilo, kwenye potifolio ya CRDB bank, Tawi la Chato limepanda kwa sababu ya jengo kubwa?
Wewe eneo la Chato hulijui na hujui kwanini kuna Kambi ya Jeshi na huo uwanja umejengwa kwa marengo gani. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza totoloooo!!
 
Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.

Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.

--
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema gharama za ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita zilizidi bajeti iliyotengwa kwa sababu ulifanyika bila upembuzi yakinifu.

CAG alisema kutofanyika kwa upembuzi yakinifu kunaongeza hatari kwa Serikali kuwekeza katika mradi usio na tija na uwezekano wa kuwapo gharama zisizodhibitiwa na ongezeko la muda katika utekelezaji wake.

“Mpatio yangu yalibaini Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) hawakufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuanz aujenzi,” amesema Kichere.

CAG Kichere amesema Sh3.62 bilioni za mradi huo zilitolewa kwenye miradi mingine kwa matarajio kwamba zingerejeshwa baada ya Hazina kutoa fedha zake, jambo ambalo halikutekelezwa kwa wakati hivyo kusimamisha miradi mingine iiliyopangwa.
Enzi ya dikteta hakuna mtu angesema hauna faida
 
wewe naona unasumbuliwa na ugonjwa wa kusumbuliwa na sukuma gang kiasi kuwa kila anayesmbua roho yako kwa jambo lolote atakuwa ni sukuma gang tu .

Huu ukaguzi wa CAG kukagua mradi mmoja na kuutolea conclusian bila kuonyesha kuwa amekagua mirtadi yote ni tatizo kabisa. Nitaridhika na ukaguzi huo iwapo ataonyesha kuwa amekagua viwanja vyote vya ndege na kuona vyenye kuingiza faida na faida na visivyo ingiza faida. Haiwezekani alete ripoti ya uwanja mmoja tu ambao inajulikana kuwa uanalalamikiwa kisiasa. After all viwanja vya ndege ni infrastractural investements ambazo faida yake haipimiwi kwa mwaka mmoja tu ulioisha. Je ameshakagua barabara zote zilizojengwa na viwanja vyote na kuona kuwa kweli vina faida?

Kuhusu ofisi ya CAG kulaumiwa kutumika vibaya ni jambo limeshaongelewa sana, na kama wewe una amini kwamba kuwepo kwake kikatiba ni warrant ya kutolalamikiwa, basi uslialamikie jambo lolote lililofanyika kikatiba.
Hakuna ofisi imejaa wala rushwa kama ya CAG mkuu
 
Back
Top Bottom