Dr Simba
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 997
- 1,241
Hahahaha!!!!!umesomeka mubasharaaa!!!hakuna janja janja ya kupindua maneno.....kasema hazionekani hakusema zimeibiwa,Mfano rahisi umekuasanya shilingi Elfu 1000....umetumia shilingi 800....imebaki shilingi 200.....lkn Balance Bank inasoma zero.....sasa Mia 200 imeenda wapi?Elewa wewe,kwenye ripoti yake amesema hizo pesa hazina maelezo ya namna zilivyotumika.Kwahiyo haieleweki zimefanya kazi gani,kwa utaratibu hakuna hata shilingi moja inayopaswa kutumia bila viambatanisho kuwekwa wazi,Kwahiyo kilichofanyika ni ukiukwaji wa utaratibu.Sasa utaamua wewe jambo hilo kulipa jina utakalolipenda.