Nakumbuka wakati wa kampeni more than once, Comptroller Auditor General (CAG) alisema watafanya ukaguzi wa fedha za kampeni kwa vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi. Cha ajabu naona hiyo ishu sasa iko kimya vipi??????? Au ukaguzi nao umechakachuliwa?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us