Nakumbuka wakati wa kampeni more than once, Comptroller Auditor General (CAG) alisema watafanya ukaguzi wa fedha za kampeni kwa vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi. Cha ajabu naona hiyo ishu sasa iko kimya vipi? Au ukaguzi nao umechakachuliwa?
Nakumbuka wakati wa kampeni more than once, Comptroller Auditor General (CAG) alisema watafanya ukaguzi wa fedha za kampeni kwa vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi. Cha ajabu naona hiyo ishu sasa iko kimya vipi??????? Au ukaguzi nao umechakachuliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.