fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Anakagua kila kituHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Ukisema serikali imenunua gari kutoka Japan hata kama documents zote zipo ni lazima alione hilo gari lenyewe na aridhike ni jipya.
Ukaguzi wa kizamani ndio ulikua unaishia ofisini tu huko huko bila ya kuingia field
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app