CAG Prof. Mussa Assad, azungumzia jambo muhimu sana kutibu kupanda kwa deni la Taifa. Tutumie Revenue Driven Budget and Not Expenditure Driven Budget

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,567
Wanabodi,

Watu kama hawa, wa type ya CAG Prof. Mussa Assad, ambao siku zote husema ukweli daima, ndio watu watakaolisaiia taifa letu kusonga mbele.

Msikilize hapa akizungumzia jinsi taifa letu linavyoweza kujikwamua na kutuna kwa deni la taifa.
Wanasiasa wanajivumia ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za ndani, halafu tunakopo kutoka non concession loans, kutoka mabenki ya ndani na nje ili kugharimia bajeti ya serikali, hapa CAG Prof. Assad amezungumzia athari za kiuchumi za serikali kukopa kutoka mabenki ya ndani na kukua kwa deni la taifa kutokana na kukopa non concession loans toka mabenki ya nje.

Ametoa solution ni tutumie a revenue driven budget and not expenditure driven budget.
msikilize mwenyewe.


P.
 
Wanabodi,

Watu kama hawa, wa type ya CAG Prof. Mussa Assad, ambao siku zote husema ukweli daima, ndio watu watakaolisaiia taifa letu kusonga mbele.

Msikilize hapa akizungumzia jinsi taifa letu linavyoweza kujikwamua na kutuna kwa deni la taifa.
Wanasiasa wanajivumia ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za ndani, halafu tunakopo kutoka non concession loans, kutoka mabenki ya ndani na nje ili kugharimia bajeti ya serikali, hapa CAG Prof. Assad amezungumzia athari za kiuchumi za serikali kukopa kutoka mabenki ya ndani na kukua kwa deni la taifa kutokana na kukopa non concession loans toka mabenki ya nje.

Ametoa solution ni tutumie a revenue driven budget and not expenditure driven budget.
msikilize mwenyewe.

P.

Hayo kayasema kwenye kamati ya maadili ya bunge wakati anajitetea au.......?!!
 
Wanabodi,

Watu kama hawa, wa type ya CAG Prof. Mussa Assad, ambao siku zote husema ukweli daima, ndio watu watakaolisaiia taifa letu kusonga mbele.

Msikilize hapa akizungumzia jinsi taifa letu linavyoweza kujikwamua na kutuna kwa deni la taifa.
Wanasiasa wanajivumia ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za ndani, halafu tunakopo kutoka non concession loans, kutoka mabenki ya ndani na nje ili kugharimia bajeti ya serikali, hapa CAG Prof. Assad amezungumzia athari za kiuchumi za serikali kukopa kutoka mabenki ya ndani na kukua kwa deni la taifa kutokana na kukopa non concession loans toka mabenki ya nje.

Ametoa solution ni tutumie a revenue driven budget and not expenditure driven budget.
msikilize mwenyewe.

P.

Mkuu huyu jamaa ni Kichwa..
Ngoja niseme hivi..Prof Assad ni MWEREVU haswaa wa Uchumi..
Asante kwa hii clip Mkuu.
 
Wanabodi,

Watu kama hawa, wa type ya CAG Prof. Mussa Assad, ambao siku zote husema ukweli daima, ndio watu watakaolisaiia taifa letu kusonga mbele.

Msikilize hapa akizungumzia jinsi taifa letu linavyoweza kujikwamua na kutuna kwa deni la taifa.
Wanasiasa wanajivumia ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za ndani, halafu tunakopo kutoka non concession loans, kutoka mabenki ya ndani na nje ili kugharimia bajeti ya serikali, hapa CAG Prof. Assad amezungumzia athari za kiuchumi za serikali kukopa kutoka mabenki ya ndani na kukua kwa deni la taifa kutokana na kukopa non concession loans toka mabenki ya nje.

Ametoa solution ni tutumie a revenue driven budget and not expenditure driven budget.
msikilize mwenyewe.

P.

akiwaeleza uzaifu wenu ulipo mnasema kawadharau
 
Wanabodi,

Watu kama hawa, wa type ya CAG Prof. Mussa Assad, ambao siku zote husema ukweli daima, ndio watu watakaolisaiia taifa letu kusonga mbele.

Msikilize hapa akizungumzia jinsi taifa letu linavyoweza kujikwamua na kutuna kwa deni la taifa.
Wanasiasa wanajivumia ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za ndani, halafu tunakopo kutoka non concession loans, kutoka mabenki ya ndani na nje ili kugharimia bajeti ya serikali, hapa CAG Prof. Assad amezungumzia athari za kiuchumi za serikali kukopa kutoka mabenki ya ndani na kukua kwa deni la taifa kutokana na kukopa non concession loans toka mabenki ya nje.

Ametoa solution ni tutumie a revenue driven budget and not expenditure driven budget.
msikilize mwenyewe.

P.
Mayala, Kwa uzoefu wangu, serikali nyingi hasa za kiafrika, wasomi wa type Hii huwaona ni vikwazo ktk malengo yao ya kisiasa. Wasomi wenye mlengo huu, hutafutiwa mkakati na kuondolewa ktk system.

Serikali zetu hazihitaji wasomi wenye mipango mkakati kwani Mara nyingi huenda tofauti na malengo ya kisiasa. Mipango yenye kuleta suluhisho LA kudumu inahitaji uvumilivu na umakini ktk kuitayarisha na kusimamia utekelezaji wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom