CAG Prof. Mussa Assad amjibu Spika Ndugai, Asema Katiba ya JMT haina kifungu kinachomtaka ajieleze

Hii ni intellectual fight haihitaji muscles elongated. Sasa sijui kama hao wapiganaji wanazo weapon za kutosha kusimama kwenye battle hii. Naona wanapigana Watu ambao hawapo katika level moja
Ndio shida ya wanasiasa wanaamini wana ushawishi mahali popote pale hata pasipo stahiki kuweka kauli wanaweka kauli pasipo stahali mapambano wanaweka mapambano hata kama sio field yao, hii ni asymmetrical fighting, Kwa akili ya kawaida kwanza Ngugai kuanzisha fight na Prof. Ni kumdharirisha Prof. kulikuwa na njia nyingine ya kufanya argument kama ana concern na Prof. Kwa mtu mwenye akili asingeweza kusimama open field na Asaad. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, tunachukulia elimu ni jambo dogo sana.
 
Serikali na Bunge ni vitu viwili tofauti...hivyo Ndugai aache uongo. Rais hawezi kuwa sehemu ya Bunge hata kama anasaini yanayopitishwa na Bunge.

Mihimili ipo mitatu. Spika Ndugai aache chuki binafsi na CAG, kwanza CAG hakusema bunge ni dhaifu ila alisema "kama mapendekezo ya CAG kuhusu upotevu wa pesa hatua hazitachukulia haitakuwa suala lake bali litakuwa ni udhaifu wa bunge" hapo amejibu swali kutokana na jinsi alivyoulizwa.

Hapa linaloendelea kutokea ni kuwa kuna ubadhirifu mkubwa sana wa fedha za umma kwa hiyo wanaona jinsi ya kulificha hili tatizo ni kumtibua CAG na kumsemea uongo ili afukuzwe.

Hakuna asiyejua nia ya ndugai na Magufuli....kumfukuza CAG na kumuweka mtu wa aina ya Doto James ili waendelee kuchukua fedha zisizo idhinishwa.
tatizo hasa hapa ni dini ya asad
 
CAG ni mwenyekiti wa chama gani cha kisiasa ?? kwa Maana yupo busy kweli kupambana na hoja za kisiasa Badala ya kutekeleza majukumu yake kitaalam.
Hoja gani za kisiasa ana pambana nazo? Cheocha CAG sio cha kisiasa bali kikatiba.
Na analindwa na katiba.
Labda umwambie ndugai aache kuweka siasa kwenye common sense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Usimuhusishe mpendwa wetu katika hili, hawezi kuingilia jambo dogo kama hili hawezi kuingia mtego wa kubishania neno dhaifu tena katika nchi ya watu maskini na wanyonge. Yuko busy tuletea maendeleo wananchi.
Tukutane 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akil z Kilumumba hizi,yaan suala la kujadil kodi za wananchi zinazoliwa na wachache c maendeleo ila kuzunguka mikoan ya tz kuonyesha kua kafanya maendeo kwa kuwadangany watz ndo ww unaona n maendeleo
 
Mkuu hakika umenena,eti sisi wanyonge wao kuitwa dhaifu nongwa,inabidi watufafanulie mwananchi ni nani,nahuyo mwananchi mnyonge ni yupi.Kumbe wao so wananchi na si wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ni mtu mmoja tu Ndugai nadhani tua ze kuweka petition ya kumtoa kwenye kiti chake yule P.... aliyewahi kusoma gazeti la Sani anajua Jina la P
 
CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.

Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.

Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.

Sijui mshindi ataibuka nani.

======

Mara baada ya mkutano huo wa Spika Ndugai, Mwananchi lilizungumza na Profesa Assad ambaye alijibu kwa ujumbe wa maandishi akisema, Katiba haina kifungu cha kujieleza.

“Soma Katiba 143 ina disciplinary arrangements (mpangilio wa hatua za nidhamu), kujieleza haimo,” alisema Profesa Assad.

Ibara ya 143 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano, inasema “Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hatalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu mwingine yeyote au idara yoyote ya Serikali, lakini maelezo hayo ya ibara hii ndogo hayataizuia Mahakama nayo kutumia madaraka yake kwa ajili ya kuchunguza kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu ametekeleza”.

Ibara ya 144(3) inasema “iwapo Rais anaona kwamba suala la kumuondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kwa mujibu wa masharti ya ibara hii lahitaji kuchunguzwa” atateua Tume Maalum ambayo itakuwa na mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili.

Sehemu hiyo inasema mwenyekiti na angalau nusu ya wajumbe wengine wa tume hiyo itabidi wawe watu ambao ni majaji au watu waliopata kuwa majaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufani.

Awali katika maelezo yake, Ndugai alimsifu Profesa Assad kwa ujasiri wake huku akiufananisha na ujasiri wa mbwa kumtukana mtu anayemlisha.

Aliendelea kusema pia kuwa hana chuki binafsi na Assad bali tatizo ni lugha tu.

“Unatukana hadi mkono unaokulisha, inahitaji ujasiri
Hii ni ngoma nzito mwenye ngoma anasubiri ya kama ya Lisu.
 
Hii isomwe in Maguvanga voice...
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu na CAG amesema ukweri tatizo watanzania tulizoea kusifiana tuuu hata vitu vya uongo,kama sikumfukuza bashite na kelele za wengi mnadhani nitamtumbua huyu siieigii.badala wafanyizie kazi ripoti wanazurura mara Doha,mara naskia yuko swideni tena kwenye limerii eti anafungua mkutano,mara anakimbilia waandishi dar tumepoteza milionzi ofu mane wewe unanguvu za kusafiri hovyohovyo. mimi nimekataa mikutano mingapi kwaajili ya kazi za watanzania ifike mahali viongozi tumtangulize Mungu mbere na tuwe na uzalendo! Mimi nimewahi kuita watu vilaza mbona sijajiuzulu,niliwaambia viongozi wastaafu wanawashwa-washwa kwahiyo nijiuzulu,nimesema hata sisiemu kuna majizi hilo neno ni gumu lakini ndiyo ukweri wenyewe. Wakaangalie kwenye kamusi udhaifu na majizi lipi neno laini nalipi zito. Mmezoea maneno malainii mimi kipindi changu nataka maneno magumu tena sieijii akitoa ripoti yake mwakani awe amevuta kabangi kake polepoooole ili awatandike vizuri!! tunawalipa mamilioni wanakaa vikao kurushiana vijembe huo ni uzaifu jamani au tuuite uzinifu? Haya tuchape kazi tuache maneno.hapa kazi tuu,natumbua watu wezi na wasioweza kazi siyo walioongea sijui nini mtu akachukia!! Siunywe maji utatulia au ulivyoenda uko katari ungekunywa kawaini kidogo ukasahau.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Hayo ya maandamano ndio maana lile jeshi lisiloshindwa kitu kilitoa ujumbe wa AMANI! na wa UDOM akatoa tamko la kuchakaza Prof asijaribu kujiuzulu maana ataleta shida kwa wapenda haki nchini.
 
JamiiForums

search.png

mm.png


close.png




Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
TagsNone

Prev
MODERATIONUNWATCH
•••
J
JokaKuu
Platinum Member

Dec 11, 2014
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.

Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.

Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.

Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.

Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3

Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
 
Kama hadi sasa hivi Magufuli amenyamazia jambo hili basi ujue kuna kitu behind the scene. Si bure anyamaze
JamiiForums

search.png

mm.png


close.png




Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
TagsNone

Prev
MODERATIONUNWATCH
•••
J
JokaKuu
Platinum Member

Dec 11, 2014
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.

Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.

Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.

Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.

Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3

Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
 
Mbona moshi unapotoka panaeleweka? ameshaandaliwa mbadala ni Assistant CAG tayari nafasi ambayo hauipo kikatiba. Tulieni dawa iingie.
 
Habari ya ripoti ya CAG imefika vijijini. Watu wana mapenzi nae mno, akijiuzuru subirini maandamano ya nguvu kupinga kujiuzuru kwake.
Usidanganyike yamefika vijijini, 2020 gari ya muziki, kanga kidogo kura bwerereee hakuna shida kuandamana wanaweza waarabu na wakenya hiyo sio mila yetu. Acha uchochezi mkuu wa majeshi keshaonya tulia dawa iingie alah.
 
Back
Top Bottom