Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Ndio shida ya wanasiasa wanaamini wana ushawishi mahali popote pale hata pasipo stahiki kuweka kauli wanaweka kauli pasipo stahali mapambano wanaweka mapambano hata kama sio field yao, hii ni asymmetrical fighting, Kwa akili ya kawaida kwanza Ngugai kuanzisha fight na Prof. Ni kumdharirisha Prof. kulikuwa na njia nyingine ya kufanya argument kama ana concern na Prof. Kwa mtu mwenye akili asingeweza kusimama open field na Asaad. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, tunachukulia elimu ni jambo dogo sana.Hii ni intellectual fight haihitaji muscles elongated. Sasa sijui kama hao wapiganaji wanazo weapon za kutosha kusimama kwenye battle hii. Naona wanapigana Watu ambao hawapo katika level moja