Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,681
- 3,346
Pumbaaaaaavu weweKamusi ya Assadi ipo wapi? Utuoneshe maana ya neno Dhaifu. Assadi namfahamu sana, ni Kiburi sana, na kujifanya anasimamia misimamo isiyo na kichwa wala miguu. Aondoke kwenye utumishi wa umma, awe mwanaharakati, huko atafaa zaidi. Kwenye utumishi wa umma kuna taratibu zake, huwezi enda huko nje ya nchi ukadhalilisha nchi yako. Ajitathmini, na achie ofisin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my TA-1024 using Tapatalk