CAG Prof. Mussa Assad amjibu Spika Ndugai, Asema Katiba ya JMT haina kifungu kinachomtaka ajieleze

Mkuu mkakati uliopo ni wa Ndugai kujiudhuru.

Ili Ngosha aibuke mshindi midomoni mwa wapinzani
 
Habari ya ripoti ya CAG imefika vijijini. Watu wana mapenzi nae mno, akijiuzuru subirini maandamano ya nguvu kupinga kujiuzuru kwake.
Sasa haya ndiyo yatakuwa maandamano yenye tija, muhimu kwa taifa na unganishi, maandamano ambayo yatakuwa mali ya wananchi kwa ujumla tena yasiyo pendelea chama chochote.

Hata mie na wanangu tutajiunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kukurupuka,hakulazisha,alishauri,kama alilazimisha weka proof hadharani,kwa kupitia clip.

Nyie kwa upumbavu wenu ndio mnaokuza huu mgogoro kwa vi thread vya kijinga
Badala ya Ngugai kusononeshwa na matumizi mabata ya fedha,yeye kaumizwa na neno dhaifu.

Badala ya kuhoja zilipo Bil 800 ambazo hazipo kwenye mahesabu,yeye kakazana na kuumizwa kuitwa dhaifu

Badala ya kuumizwa na Matumizi yasiyoidhinishwa na bunge eti kaumizwa na kuitwa dhaifu.

Wito kwa watanzania,ndugai ajiuzulu ili kulikomboa bunge letu.

Ndugai kwa sasa hana Moral Authority ya kuendelea kuwa Spika.

Rais anapinga ufusadi,na ndio maana kampuuza ndugai kwa kupeleka ripoti bungeni.

Rais hapendi wizi,ndio maana kila mara anatumbua,halafu mtu anaemsaidia Rais kuona panapovuja etu ndugai hamtaki.

Ndugai anataka CAG atakaekuwa na tabia kama ndugai,CAG atakaeficha ukweli ili kuwafurahisha wanaomlipa.

Ndugai anathubutu kumfananisha Prof aliebobobea na anaeamini na umoja wa mataifa,halafu anafananushwa na Mbwa?

Au ugonjwa wake umeanza kupanda?
Ndugai must go.
Tanzania tunaheshimika sana,ndugai apumzuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bunge linaweza kumfuta kazi rais kwahiyo rais hayuko juu ya bunge
Mihimili ya utawala iko mitatu lakini Rais wa Nchi ndo mkuu wa mihimili yote hiyo. Baada ya Uchaguzi Mkuu ni Rais anayelifungua Bunge rasmi,je kaka Rais siyo sehemu ya Bunge ni kwa nini alifungue? Majaji wa Mahakama Kuu huteuliwa na Rais, je Rais siyo sehemu ya Mahakama?
 
Acha kukurupuka,hakulazisha,alishauri,kama alilazimisha weka proof hadharani,kwa kupitia clip.

Nyie kwa upumbavu wenu ndio mnaokuza huu mgogoro kwa vi thread vya kijinga
Mmefikia mahala mnashindwa kuchagua wa kumtetea.. JOBU, CAG au JIWE...? Maana kitendo cha kwamba wote wapo upande mmoja ndo kinawatoa jasho… INGEKUWA MMOJA WAPO YUPO CDM katika hao, zigo la ubaya wote mngemtwisha yeye… mnabaki kutukana na kulazimisha kwamba JOBU harumbani na CAG ila sisi tunaoandika ndo tunaona hivyo…!!!! AIBU... Mwenzenu mmoja keshawaambia, KAMA MMEJIPAKA MASIZI JIFUTENI
 
Badala ya Ngugai kusononeshwa na matumizi mabata ya fedha,yeye kaumizwa na neno dhaifu.

Badala ya kuhoja zilipo Bil 800 ambazo hazipo kwenye mahesabu,yeye kakazana na kuumizwa kuitwa dhaifu

Badala ya kuumizwa na Matumizi yasiyoidhinishwa na bunge eti kaumizwa na kuitwa dhaifu.

Wito kwa watanzania,ndugai ajiuzulu ili kulikomboa bunge letu.

Ndugai kwa sasa hana Moral Authority ya kuendelea kuwa Spika.

Rais anapinga ufusadi,na ndio maana kampuuza ndugai kwa kupeleka ripoti bungeni.

Rais hapendi wizi,ndio maana kila mara anatumbua,halafu mtu anaemsaidia Rais kuona panapovuja etu ndugai hamtaki.

Ndugai anataka CAG atakaekuwa na tabia kama ndugai,CAG atakaeficha ukweli ili kuwafurahisha wanaomlipa.

Ndugai anathubutu kumfananisha Prof aliebobobea na anaeamini na umoja wa mataifa,halafu anafananushwa na Mbwa?

Au ugonjwa wake umeanza kupanda?
Ndugai must go.
Tanzania tunaheshimika sana,ndugai apumzuke

Sent using Jamii Forums mobile app
tena udhaifu wa hali ya juu maana inadhihirisha kwa kiwango gani hata spika mwenyewe muongoza bunge ana madhaifu ya kufahamu vyema sheria na kanuni na mipaka yake ya mahusiano ya kiofisi baina ya bunge na CAG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihii mkuu. na ndugai hayuko peke yake Katika vita hiii
Ndugai anataka kutotua kwenye reli tusijadili ripoti ya CAG kama alivyotutoa kwenye reli tusijadili ripoti maalum ya CAG kuhusu trilion 1.5 kwa kujifanya anamuita CAG bungeni ajieleze wakati majadala wa Trilion 1.5 ukikaribia

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
Kiuhalisia na bila kificho, spika kuna jambo lililopo kwenye ile ripoti inamgusa na ndio maana kaweka nguvu nyingi kupambana na neno dhaifu badala ya ripoti yenyewe ili ripoti isijadiliwe kiufasaha!
Hebu aipishe ofisi ya umma na kuiruhusu ripoti ile ijadiliwe kwa kina! Anachosha na kubore sana hasa kwenye mambo ya msingi!
Asiwachukulie watanzania kama watu wajinga. Aondoke haraka ofisini ili ampe nafasi rais mzalendo apambane na ufisadi kikwelikweli!
 
CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.

Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.

Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.

Sijui mshindi ataibuka nani.

Ndugu yangu,
Usipate taabu ya kuuliza sijui mshindi ataibuka nani....Mbona mshindi katika hii vita anajulikana na si mwingine isipokuwa Prof. Mussa Asad.
Ndo maana unaweza kuona Spika Ndugai ni kama maeishiwa pumzi/hoja kwa sasa anahangaika na kutapatapa atokee wapi.
Prof. Assad ni ngima nzito mpaka Ikulu imepoteza mwelekeo. Ogopa sana mtu makini anayemtegmea Mungu halafu hana chembe ya ufisadi hata kidogo.
Kinachofanyika sasa ni Ndugai, Bunge, CCM na Magufuli kumpiga vita Prof. Assad kwa kuanika madudu wanayofatnya nyuma ya pazia huku wakijidai ni watu safi kumbe wamejaa unafiki mtupu.
 
Back
Top Bottom