Kwa jicho pana Rais yupo nyuma ya Spika.
Magufuli hapendi kukosolewa wote mnajua ya Lissu, wote mnajua ya Wapinzani leo, wote mnajua kilichompata msajili wa hazina alipotoa maoni ya wazi clouds 360 kuwa kuweka fedha za umma bank kuu kutapunguza mzunguko wa fedha na si kosa kisheria kuweka katika mabenki ya kawaida, aliliwa kichwa.
Dumelang
Nakumbuka hii interview niliiangalia live, jamaa alikuwa 100% correct, namba tunaoisoma sasa