CAG Prof. Mussa Assad amjibu Spika Ndugai, Asema Katiba ya JMT haina kifungu kinachomtaka ajieleze

Kwa jicho pana Rais yupo nyuma ya Spika.


Magufuli hapendi kukosolewa wote mnajua ya Lissu, wote mnajua ya Wapinzani leo, wote mnajua kilichompata msajili wa hazina alipotoa maoni ya wazi clouds 360 kuwa kuweka fedha za umma bank kuu kutapunguza mzunguko wa fedha na si kosa kisheria kuweka katika mabenki ya kawaida, aliliwa kichwa.
Dumelang

Nakumbuka hii interview niliiangalia live, jamaa alikuwa 100% correct, namba tunaoisoma sasa
 
CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.

Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.

Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.

Sijui mshindi ataibuka nani.
Ndugai sio mwanasiasa ni kiraza tu. Mimi nijuavyo mwanasiasa ujibu hoja kwa sio vitisho na kujificha kwenye Dora.

Ata ivyo sishangai kuona Mwenyekiti wa ccm kujificha kwenye jeshi maana ata yeye sio mwanasiasa so..Wanaaiasa wanasoma namba sio wa Upinzani tu ata wa ccm wanajutia maamuzi yao ya kipumbavu. Hakuna aliye salama wote ni vilio na kusaga meno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi Ndungai hajitambui.
Na elimu yake haijamsaidia sana. Au labda anajitoa ufahamu ili kiutetea serikali
 
Kama hadi sasa hivi Magufuli amenyamazia jambo hili basi ujue kuna kitu behind the scene. Si bure anyamaze
Kama ambavyo MSUKUMA alisema bungeni kuhusu mshahara wa LISU, la CAG nalo linakwenda kuingizwa kwenye mjadala kama lile… INGAWA WANAKOSEAGA KUJUA KAMA WANARUHUSIWA KISHERIA AU LA.... Maana nikiangalia la mshahara wa LISU, waliacha kumlipa, akawapa 14 days, wakasalimu amri… Tukamwona tu SPIKA akisema washamlipa, labda kuchelewa kutokane na mifumo ya ulipaji… UTADHANI SI YULE ALOIYESEMA KINYUME KABLA...!!!

Ukiangalia majibu ya CAG tangu mwanzo, utagundua kuwa anafanya REFERENCE kwenye katiba kwa kiasi kikubwa sana… NASHANGAA HUYU MSIMAMIZI WA WATUMGA SHERIA ANASHINDWA KULIONA HILO....
 
Ndio maana katika taaluma mbali mbali kuna kamusi zao.
Utasikia dictionary of medicine, dictionary of geography na kadhalika.
Sasa shida nchi hii kila kituni siasa kuanzia mpira mpaka mahesabu.
Ni shida kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza huo ushauri alioutoa jana kwann hakuutoa toka mwanzo, hiv spika kama naogopa hivyo rais eti ameguswa je ataweza kumsimamia serikali yake rais,na kwann rais mwenyewe asimtake cag ajieleze kwake.
 
Je CAG ni kiongozi wa Umma?

1072119
 
Kuna kitu tunachokiita check and balance, ambapo uwepo wao mihimili yote mitatu ni muhimu katika kuleta "good governance"

Hata hivyo kila mhimili unafanya kitu tunachokiita "watchdog" kwa wenziwe

Inaonekana kwenye nchi hii chini ya utawala wa awamu ya 5, mhimili. wa serikali "umegoma" kufanyiwa watchdog na hiyo mihimili mingine 2, na mhimili huo wa Executive unajifanya kuwa ndiyo Superior wa mhimili yote hiyo na hapo ndipo penye kiini cha tatizo lenyewe.

Mpaka hapo huo mhimili wa Executive utakapojishusha na kujiona upo sawasawa na hiyo mihimili mingine miwili, ndipo tutakapokuwa,tume-solve tatizo
 
Ok, Rais ni sehemu ya bunge….. kwa hiyo bunge likionyesha udhaifu kwenye jambo Fulani, lisiambiwe kwamba ni dhaifu kwa vile raisi nisehemu ya bunge?

Nisichoelewa ni kwamba, uwepo wa raisi kama sehemu ya bunge, kunafuta bunge kuitwa dhaifu endapo watakuwa na udhaifu kwenye jambo fulani?
 
Kuna kitu tunachokiita check and balance, ambapo uwepo wao mihimili yote mitatu ni muhimu katika kuleta "good governance"

Hata hivyo kila mhimili unafanya kitu tunachokiita "watchdog" kwa wenziwe

Inaonekana kwenye nchi hii chini ya utawala wa awamu ya 5, mhimili. wa serikali "umegoma" kufanyiwa watchdog na hiyo mihimili mingine 2, na mhimili huo wa Executive unajifanya kuwa ndiyo Superior wa mhimili yote hiyo na hapo ndipo penye kiini cha tatizo lenyewe.

Mpaka hapo huo mhimili wa Executive utakapojishusha na kujiona upo sawasawa na hiyo mihimili mingine miwili, ndipo tutakapokuwa,tume-solve tatizo
Na jiwe alishasema… mhimili wake una miziz mirefu … Na JOBU kasema, ukiwa unalishwa hutakiwi kumsema anayekulisha...
 
Hii mechi bado mbichi, mm naenda kukojoa narudi sasa hv...!! So that means CAG is a boss of his own, untouchable.. yaani yeye ngangariiiiiiiii, alafu Bunge dhaifuuu, ndio mnataka kusema hivyo sio?
 
Badala ya Ngugai kusononeshwa na matumizi mabata ya fedha,yeye kaumizwa na neno dhaifu.

Badala ya kuhoja zilipo Bil 800 ambazo hazipo kwenye mahesabu,yeye kakazana na kuumizwa kuitwa dhaifu

Badala ya kuumizwa na Matumizi yasiyoidhinishwa na bunge eti kaumizwa na kuitwa dhaifu.

Wito kwa watanzania,ndugai ajiuzulu ili kulikomboa bunge letu.

Ndugai kwa sasa hana Moral Authority ya kuendelea kuwa Spika.

Rais anapinga ufusadi,na ndio maana kampuuza ndugai kwa kupeleka ripoti bungeni.

Rais hapendi wizi,ndio maana kila mara anatumbua,halafu mtu anaemsaidia Rais kuona panapovuja etu ndugai hamtaki.

Ndugai anataka CAG atakaekuwa na tabia kama ndugai,CAG atakaeficha ukweli ili kuwafurahisha wanaomlipa.

Ndugai anathubutu kumfananisha Prof aliebobobea na anaeamini na umoja wa mataifa,halafu anafananushwa na Mbwa?

Au ugonjwa wake umeanza kupanda?
Ndugai must go.
Tanzania tunaheshimika sana,ndugai apumzuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai ni mouthpiece ya Jiwe, wanachofanya ni harassment kwa CAG ili ajiuzulu.
Jiwe ni mwizi wa fedha za umma na CAG ni mlinzi, sasa anataka mlinzi aondolewe.
Duh! umetumia maneno makali lakini kaama ni ukweli ni poa sana! wacha wanaoumia waumie!
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom