CAG Prof. Mussa Assad amjibu Spika Ndugai, Asema Katiba ya JMT haina kifungu kinachomtaka ajieleze

Anakuwa sehemu ya bunge pale anapohutubia bunge na pale miswada ya kisheria inapojadiliwa ( parliament )
Ila kwenye vikao vya kila cku (national assembly ) hahusiki kamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Hapa
20190415_074942.jpeg


We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.

Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.

Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.

Sijui mshindi ataibuka nani.
Tupe chanzo cha habari yako
 
Kamusi ya Assadi ipo wapi? Utuoneshe maana ya neno Dhaifu. Assadi namfahamu sana, ni Kiburi sana, na kujifanya anasimamia misimamo isiyo na kichwa wala miguu. Aondoke kwenye utumishi wa umma, awe mwanaharakati, huko atafaa zaidi. Kwenye utumishi wa umma kuna taratibu zake, huwezi enda huko nje ya nchi ukadhalilisha nchi yako. Ajitathmini, na achie ofisin.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama misimamo ni tatizo basi rais awe wa kwanza kuondoka. Tuliona misimamo yake kwenye korosho na kinachoendelea. Acha unafiki dogo.
 
Kamusi ya Assadi ipo wapi? Utuoneshe maana ya neno Dhaifu. Assadi namfahamu sana, ni Kiburi sana, na kujifanya anasimamia misimamo isiyo na kichwa wala miguu. Aondoke kwenye utumishi wa umma, awe mwanaharakati, huko atafaa zaidi. Kwenye utumishi wa umma kuna taratibu zake, huwezi enda huko nje ya nchi ukadhalilisha nchi yako. Ajitathmini, na achie ofisin.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge linatakiwa kuonesha kwamba halina udhaifu kwa kuisimamia serikali vizuri sio porojo vinginevyo litaendelea kua dhaifu na CAG haendi kokote wezi wakubwa nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachonishangaza ni kwann wazid kung'ang'ania ilo neno dhaifu akati kuna mambo ya msingi ya kujadili ...kwa watu wenye akili tushajua hapo kuna watu wanakingiwa kifua wasiumbuke ..haiwezekani uambiwe feza zimepotea afu usishtuke ila ukiitwa zaifu ndio ushtuke walahi bunge na ****** wanakera kuliko maelezo...wanatia hasira wanatuumiza wananch kwa ujinga wao wa maslahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mihimili ya utawala iko mitatu lakini Rais wa Nchi ndo mkuu wa mihimili yote hiyo. Baada ya Uchaguzi Mkuu ni Rais anayelifungua Bunge rasmi,je kaka Rais siyo sehemu ya Bunge ni kwa nini alifungue? Majaji wa Mahakama Kuu huteuliwa na Rais, je Rais siyo sehemu ya Mahakama?
Unavo sema hivo mbn anaapishwa na Jaji, Rais siyo sehemu ya bunge ndy mihimili inavyofanya kazi pakawe. Ni kama anavyomteua CAG na hawezi muondoa hicihivi.
Mnapenda kutetea upuuzi upuuzi tu pesa zetu ziwe zinaliwa kiwaziwazi ati neno dhaifu ndy lisababishe. Ndugai ajiudhuru hatuwataki watu wazumbukuku, kama kuna agenda yenu pelekeni huko ccm kwenu majizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unaongea sana na kwann umshirikishe rais kwenye hili suala kwani ripoti ya CAG haijasomwa.Povu lako halieleweki useme tu unachuki na jpm kakuondolea mihimili yako yote ya kupata fedha kiharamu na ndio maana unamuingiza katika kesi ambayo ajaianzisha yeye.Muacheni apige kazi rais wetu na awashughulikie waujumi uchumi kama wewe.

RAIS MAGUFULI HAJAONDOA MIHIMILI YA KUPATA FEDHA KIHARAMU... BALI AMEIBINAFISHA ANAITUMIA YEYE NA WAPWA ZAKE.....!
 
Hivi hamuoni umuhimu wa sisi kma wananchi kumuonyesha ndugai kuwa bunge ni dhaifu kweli kwa kupitia hashtag au kuomba ajiuzulu kwa kushindwa kuisimamia serikali na bunge lenyewe
 
CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.

Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.

Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.

Sijui mshindi ataibuka nani.
Tunaomba source Tafadhali, umemnukuu kutoka wapi?
 
Back
Top Bottom