CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Watakupinga sana kwa kauli yako hii. Lakini Mungu muweza wa yote akituweka hai hadi anaondoka madarakani kisheria au kimabavu ndio watakuamini watakapo jua kuwa hakuwa na tofauti na Sani Abacha wa Nigeria.
Ukiwa na mbwa mkali wezi wote hawata mpenda na watataka kwa namna yeyote. Profesa Assad hongera tutakumbuka weledi na uaminifu wako kwa Taifa hili
niliwahi kuwaambia humu hii awamu tutaibiwa kuliko awamu zote Jamaa ni mwizi sana,amefanikiwa kuwatia watu wote hofu asipatikane wa kuhoji ili afanye yake
 
Huwa nasema humu kwamba:
The hallmarks of bad governance are:
1. Ambiguousness
2. Arbitrariness
3. Capriciousness
Can anyone prove me wrong so far?
Your last senetnce should have read, " Can anyone, so far, prove my wrongness?"
Shoctopus is correct and you are wrong; and if not, then you just offered an alternative statement for another, yet correct statement!
 
babylata,

Ni kweli kabisa uko sahihi, hata mimi ninaona hivyo: Angalia hapa
1. Ndege amenunua ni za kwake, akistaafu anazichukua anenda nazo Chato anazipaki nyumbani kwake
2. Reli anajenga ni ya kwake, akistaafu anaing'oa anaenda nayo chato. Pia
3. Barabara alizojenga,
4. Mradi wa umeme
5. Vituo vya afya zaidi ya 400 Tanzania nzima
6. Elimu bure
7. Bajet ya afya kutka Billion 30+ mpaka Billion 280+
.................................................................................
Na mengine mengi.

Hii Nchi tunahitaji watumishi wa Mungu, wamuwekee mikono kila Mtanzania. Maaskofu Mapadre, Wachungaji, Masheikh, Wazee wa Kanisa na watumishi wengine wote wa kiroho, ningekuwa na mamlaka ya kiroho, NINGEWAOMBA WAFANYE HIVYO. Wazunguke Tanzania nzima. Tuna shida kichwani si ndogo, ni kubwa sana!
 
najijisistiaga mwenyewe kuwa mambo yanaenda kwa zamu hata wao walikuani.
 
Tatizo ni pale mnapogeuza hiari kuwa lazima. Sheria haijasema ukiteliwa kama CAG ni lazima uongezewa miaka kila inapokwisha mitano. Kama hivyo ndivyo kwa nini kusingewekwa ukomo wa umri na miaka ya kutumikia. Ila sheria ina taratibu za kumuondoa kazini, na ni lazima kwa makosa maalum.
Mkuu kama kama Assad angekuwa na kosa la maadili kuna taratibu za kikatiba kumuondia
Katiba inataka afikishe miaka 60
Kafikisha?mbona mnajifanya hamjui kusoma?
 
Kwa mtu mwenye mapenzi mema ya matumizi bora ya fedha za serikali CAG kama Assad angemuongezea muda ili kupunguza mianya ya matumizi mabaya ya fedha maana Prof. Assad alijipambanua kuwa ni mtu safi
Tatizo lake alijifanya mhimili was NNE ambao haupo.Pia akipewa maagizo alikuwa anabishana badala ya kutekeleza kwa itii bila kuhoji
 
Tatizo lake alijifanya mhimili was NNE ambao haupo.Pia akipewa maagizo alikuwa anabishana badala ya kutekeleza kwa itii bila kuhoji
Msomi mtaalamu anapobishana na mwanasiasa ina kula kwake,chagua mawili utumikie taaluma ufe njaa au umtumikie mwanasiasa upon.
Ukiwa mcha,Mungu heri heshima kuliko fedheha.Meck Sadick aliona mbali alichagua heshima
 
View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA VILIVYOIBUA MJADALA:

View attachment 1252913
View attachment 1252910


WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.

Hivi amesajiliwa na body ya uhasibu???
 
(1) Kumbukeni kuwa Assad alikuwa ni kiongozi wa ofisi ya Ukaguzi na Udhibiti wa hesabu za serikali, siyo kwamba yeye ndiye alikuwa akikagua vitabu vya serikali; la hasha. Alikuwa na timu kubwa ya wakaguzi ambo wote ni watumishi wa serikali. Anapoondoka, ile timu ya wakaguzi inabaki pale pale. Na atakayekuja ataikuta timu hiyo ipo pale pale na mambo yataendelea kama kawaida.

(2) Assadi alikuwa akipotosha sana kwenye press conference zake tofauti kabisa na ilivyokuwa kwenye ripoti ambazo siyo yeye alikuwa akiziandaa, bali ile timu ya wakaguzi. Kwa mfano ukisoma muhutasari wa ripoti iliyotolewa mwaka huu, inaonyesha kuwa hakukuwa na dosari yoyote, imeandikwa kabisa kuwa 97% zilikuwa Clean na 3% zilikuwa na dosari za kiufundi lakini hakukuwa na hati mbaya. lakini press conference yake ikaonyesha kama vile kuna pesa za serikali zimetumika vibaya, jambo ambalo lilikuwa ni kosasan. Ni kama hata yeye alikuwa hajui kilichomo kwenye ripoti hio.

1572900674129.png
 
Back
Top Bottom