CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

sio hapo tu hata mikoani nasikia sio mambo mazuri bora ya kwetu(hq), wanasikia tu kitu fulani tayari kimeshafanyika, mgao mdogo na maelekezo juu, Mikataba inafanywa kwa rushwa tuhuma ni nyingi na wazabuni wanalalamika na kusema wanaichukia GPSA, kwanza wamewatoa wenye uzoefu na kuacha wachache ambao kuweza kuhudumia idara zote inakuwa ni vigumu. HOGERA SIOGOPI WASAIDIE NAO
 
i lost my trust and faith over utoh since the jah hero saga's report over mineral and energy ministry cleanest !
 
Hapo kwenye 20% ili alipe cheque hapaingii akilini, hao wauza mafuta wana faida ipi hata watoe 20% ya kuhonga? Labda hapo hapapelekwi mafuta inapelekwa hewa.
 
Ndugu siogopi ahsante sana..... Umeonesha uzalendo, endelea kuwashona nawaomba wadau pia tuchukue news hizi tuwape wakali wa mjengoni ambao tuko nao karibu ili tulipue hao mabosi.

Kwa hakika nawaambia watamfuata jairo na wale wa wanyama pori. Wapeni siku chache tuuu.

Cag amepoteza sifa kwa kuungana na bwana mamvi kumsafisha jairo.... Cag ameharibu sana amejivunjia heshima yake sana, sasa hivi watu wanamdis ile mbaya, hata vikao vya watu makini wanamnanga laivu.
 
Hawa GPSA walichofanya ktk evaluation mkoa wa Iringa ni upuuzi usiovumilika kabisa, kwa kuwa ktk wazabuni wote walioomba toka Njombe wamewachukua madiwani wafanyabiashara wa njombe (CCM). Wazabuni Wengine wote wamepigwa chini bila sbb za msingi hasa ukizingatia kwamba tumekuwa na uzoefu wa kutoa huduma kwa muda mrefu.
 
CAG yupi huyu huyu bingwa wa kusafisha uozo?<br />
Jairo alituhumiwa kuchangisha Bilioni moja kinyume cha sheria, CAG alipochunguza akabaini kuwa pesa iliyokusanywa na Jairo kumbe ni nusu ya hiyo hivyo kwake yeye hilo halikuwa kosa. Dawa yake watu kama hawa ni kuthibitisha na bunge tu ili wakiboronga wamwagwe na bunge. Tumnapojadili katiba mpya tusisahau hilo
<br />
<br />
 
inashangaza sana kuwa gpsa inategemea uwezo na juhudi zetu lakini wachache ndo wanaofaidi.hivi mtu unaweza kuchakachua ukasahau wenzako matokeo yake ndo hayo.kama shida ni kwa wote.nimesikia mkoa mmoja kuwa hata kodi ya pango inachakachuliwa,na madili hayo yanafanywa na mpangaji.utashangaa pango ni laki tano ila zinazoandikwa ni elfu hamsin.halafu anachakachua kimnya.jamani hata wadogo wakumbukeni.
 
CAG na Hosea naomba utupie macho GPSA hapafai kabisa pana rushwa ambayo haielezeki hii nchi tunakwenda wapi?
 
Back
Top Bottom