Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Kusema ukweli hii serikali imeoza na inadharau sana haki ya ofisi zingine na kujiona wao ndio wenye haki za nchi hii kufanya lolote watakalo na hakuja wa kuwaadhibu.
Wanachokifanya mawaziri ni kumjibu CAG kwa madudu waliyoyaganya kwa serikali hii iliyodanganya umma kuwa inapambana na ufisadi kumbe ndio mafisadi makubwa.
Imekuwa sio serikali ya wanyonge bali serikali ya kumuuwa kabisa anayeitwa mnyonge. Maana hawa jamaa ni zaidi ya panya na mchwa.
Mbona serikali zilizopita sikuwai kusikia majibu baada ya ripoti ya cag? Wanachokipinga ni ni hasa? Hizo press kwenda kujibu kwenye media maana yake ni kumchamba cag na sio vinginevyo.
Lakini hakuna hata mmoja aliyetolea ufafanuzi pesa ya watanzania kwanini imetumika nje ya iliyo idhinishwa na bunge hakuna hata mmoja, hakuna aliyesema tril 1.5 imeenda wapi hakuna, kodi ya tra tulipigwa changa hakuna. Zaidi ya umbea tu.
Watanzania hivi hata kuibiwa tril 1.5 tupo tupo tuuuuu sie ni zaidi ya maiti.
Wanachokifanya mawaziri ni kumjibu CAG kwa madudu waliyoyaganya kwa serikali hii iliyodanganya umma kuwa inapambana na ufisadi kumbe ndio mafisadi makubwa.
Imekuwa sio serikali ya wanyonge bali serikali ya kumuuwa kabisa anayeitwa mnyonge. Maana hawa jamaa ni zaidi ya panya na mchwa.
Mbona serikali zilizopita sikuwai kusikia majibu baada ya ripoti ya cag? Wanachokipinga ni ni hasa? Hizo press kwenda kujibu kwenye media maana yake ni kumchamba cag na sio vinginevyo.
Lakini hakuna hata mmoja aliyetolea ufafanuzi pesa ya watanzania kwanini imetumika nje ya iliyo idhinishwa na bunge hakuna hata mmoja, hakuna aliyesema tril 1.5 imeenda wapi hakuna, kodi ya tra tulipigwa changa hakuna. Zaidi ya umbea tu.
Watanzania hivi hata kuibiwa tril 1.5 tupo tupo tuuuuu sie ni zaidi ya maiti.