johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Rais Samia amesema menejimenti na bodi za baadhi ya mashirika wamekuwa wakitafuta fedha huku na kule waweze kulipa gawio serikalini ili kulinda ajira zao.
CPA Uttoh alisema dividend hulipwa kutoka kwenye faida na siyo vinginevyo.
Ramadhan Kareem!
CPA Uttoh alisema dividend hulipwa kutoka kwenye faida na siyo vinginevyo.
Ramadhan Kareem!