Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Hukuelewa alichosemaLa muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.
Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
Hukuelewa alichosemaLa muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.
Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
La muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.
Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
Lakini tambua kabisa Raisi ndio kiongozi na mkuu Serikali.Mzee Ludovick Utoh, Sasa akiongoza taasisi iitwayo wajibu, alikuwa CAG kwa miaka 8.
CAG mmoja hivi amenyooka Kama rula, akipiga kila palipostahiki pasi na kusita mradi tu maslahi ya imma yasipindishwe.
Akihojiwa na Chief Odemba wa Star TV, Jana usiku alupoulizwa Kama, ni sawa kwa Viongozi kusema raisi ametoa hela za kutekeleza mradi fulani?
Lutoh anajibu, hapana, si sawa, anasema hela ni za wananchi, za umma, bunge huidhinisha matumizi yake kwa niaba ya wananchi.
Serikali Ni wakala tu, anasimamia yakiyopitishwa/ yakiyoidhinishwa na bunge. Si sawa kubinafsisha jukumu la utoaji hela za serikali (za watu) kwa Rais, sio zake.
Kwa maana hiyo, baada ufafanuzi huo wa Mh. LUDOVICK Utoh tunategemea kuona viongozi wakianza kutumia neno, SERIKALI IMETOA HELA YA MRADI X, badala ya kutumia neno RAIS ametoa, wenye akili hutafsiri kuwa hiyo ni lugha ya kujikomba kwa Rais na kumpa Ukuu wa Uwezo kifedha ambao kimsingi sio wake yeye bali ni wa wananchi.
Jumapili njema!
Mazoea yakiachwa yaendelee yanakua sehemu ya taratibu za jamii. Ukiona Jambo baya UNDO fasta.Lakini tambua kabisa Raisi ndio kiongozi na mkuu Serikali.
Hata Jaji Warioba alikataa huu upuuzi wa kusema Rais katoa pesa kama mali yake binafsi, tuna taifa la watu wajinga snMzee Ludovick Utoh, Sasa akiongoza taasisi iitwayo wajibu, alikuwa CAG kwa miaka 8.
CAG mmoja hivi amenyooka Kama rula, akipiga kila palipostahiki pasi na kusita mradi tu maslahi ya imma yasipindishwe.
Akihojiwa na Chief Odemba wa Star TV, Jana usiku alupoulizwa Kama, ni sawa kwa Viongozi kusema raisi ametoa hela za kutekeleza mradi fulani?
Lutoh anajibu, hapana, si sawa, anasema hela ni za wananchi, za umma, bunge huidhinisha matumizi yake kwa niaba ya wananchi.
Serikali Ni wakala tu, anasimamia yakiyopitishwa/ yakiyoidhinishwa na bunge. Si sawa kubinafsisha jukumu la utoaji hela za serikali (za watu) kwa Rais, sio zake.
Kwa maana hiyo, baada ufafanuzi huo wa Mh. LUDOVICK Utoh tunategemea kuona viongozi wakianza kutumia neno, SERIKALI IMETOA HELA YA MRADI X, badala ya kutumia neno RAIS ametoa, wenye akili hutafsiri kuwa hiyo ni lugha ya kujikomba kwa Rais na kumpa Ukuu wa Uwezo kifedha ambao kimsingi sio wake yeye bali ni wa wananchi.
Jumapili njema!
Huu ujinga LAZIMA tuukomeshe. USIENDELEE.Hata Jaji Warioba alikataa huu upuuzi wa kusema Rais katoa pesa kama mali yake binafsi, tuna taifa la watu wajinga sn
Ni mambo ya ajabu snSiku hizi eti wanaita POCHI LA MAMA!! Kuna watu kwenye nchi hii wana utani sana na kodi zetu.
Mfumo mbovu mkuuHuu ujinga LAZIMA tuukomeshe. USIENDELEE.
Hatuwezi kukubali kuwa Nchi ya Wajinga!
Watanzania wakati mwingine huwa tunapenda sana kujadili "marginals" ambazo hata hazina tija kwa taifa letu achilia mbali hata kwenye maisha yetu binafsi. Mama ni Rais wa nchi na anafanya kila jambo kwa niaba yetu,; hajengi hotel zake za kitalii kwa fedha yetu bali kila kitu anchofanya ni kwa ajili yetu sisi. Akisema kwa mfano leo fungu A la fedha hizi ziende kwenye miradi ya maendeleleo, linaenda; kadhalika akisema fungu B liende kwenye kujenga madarasa ya Shule za Msingi, fungu hilo linaenda huko. Hii maana yake ni kwamba tumempa mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu, tukiwa tunakubaliana na kila kitu anchoamua kwa niaba yetu. Sasa kama ukweli uko hivi, kuna shida gani mtu akisema Mama ametoa fungu B kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Msingi, au ametoa fungu A kwa ajili ya miradi ya maendeleo? Mtu askiema hivyo kwa mfano, maadarasa ya Shule ya Msingi au miradi ya Maendeleo itakuwa ni mali ya Rais na si ya Watanzania? Mimi naomba tafadhali watu wamkosoe Mama kwa mambo ya Msingi, kama yapo. Hata yeye mwenyewe tayari alishatushauri tufanye hivyo bila kusita. Vinginevyo tumwacheni afanye kazi, tuwaombeeni Mawaziri wake waendelee kufanya kazi vizuri na waepuke kufanya kazi kwa au na mitandaoSiku hizi eti wanaita POCHI LA MAMA!! Kuna watu kwenye nchi hii wana utani sana na kodi zetu.
MaCCM akili zenu hazina akili.La muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.
Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!