Subiri zitakapoanza kutoka awamu hii. Si umesikia watu wameambiwa wasifiche tena hela nyumbani.Mbona tunaambiwa kulikuwa hakuna fedha mtaani? Hizi za kifisadi zilikuwa zanaenda wapi?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ahahahaaaa . Unatwist kombora !. Mmhh una kaziKinondoni ni kitovu cha ufisadi.
Chadema iliyopo Ufipa st Kinondoni imefisadi tsh 377 milioni!
Swali Zuri!Sasa why hawafukuzwi?
Kufukuzwa? hii sio solution haya mambo hayataisha ikiwa hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale watakao bainika kuiba na mahakama na hatua kazli kuchukuliwa kama hatuwezi kunyonga kama China basi kuwafunga kifungo kirefu na kufilisi mali zote kwa yoyote atakaye patikana na hatia bila shaka ndio tutaona haya mambo kupungua au kuisha lakini kwa story tu mtu kaiba anafukuzwa yameisha wala hayataisha haya ndio maana kila mwaka ni same story hakuna jipya. Ni wakati wa kuchukuwa hatua kali za kisheria kwa yoyote atakayefanya ufisadi bila kujali ukubwa wake.Swali Zuri!
Au ndiyo tutaishia kulalamika
Ova
Ndomana nilishauri itungwe sheria kaliKufukuzwa? hii sio solution haya mambo hayataisha ikiwa hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wale watakao bainika kuiba na mahakama na hatua kazli kuchukuliwa kama hatuwezi kunyonga kama China basi kuwafunga kifungo kirefu na kufilisi mali zote kwa yoyote atakaye patikana na hatia bila shaka ndio tutaona haya mambo kupungua au kuisha lakini kwa story tu mtu kaiba anafukuzwa yameisha wala hayataisha haya ndio maana kila mwaka ni same story hakuna jipya. Ni wakati wa kuchukuwa hatua kali za kisheria kwa yoyote atakayefanya ufisadi bila kujali ukubwa wake.
Hahahaaaa.......!Ahahahaaaa . Unatwist kombora !. Mmhh una kazi
Odhis *