CAG Kicheree: Nimegundua ufisadi wa kutisha Manispaa ya Kinondoni

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,164
103,620
Kinondoni ilikusanya ushuru Bilioni 5.9 hawakupeleka benki zikaliwa na wajanja wachache.

Wizi wa fedha za Malipo ya Vibarua yasiyostahili Sh. 284,850,00

Halmashauri ya Manispaa ilifanya malipo ya Sh. 284,850,000 kwa ajili ya kuwalipa vibarua wa usafi wa barabara na kuzoa taka. Hata hivyo kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu za malipo kutokana na nyaraka zilizoambatanishwa kuwa na kasoro mbali mbali ikiwamo; hati za malipokutoambatana na daftari la kuonyesha siku walizofanya kazi vibarua; sahihi za vibarua kutofautiana ikilinganishwa kati ya nyaraka za malipo ya vibarua (payroll) moja na nyingine ingawa majina ni yale yale; barabara walizofanyia usafi kutotajwa; kukosekana uthibitisho wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa na wasimamizi wa vibarua husika, unaothibitisha kufanyika kwa zoezi la usafi/kuzoa taka na kukosekana kwa dokezo lililotoka idara tumizi kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji kuomba malipo.
 
Kinondoni ilikusanya ushuru Bilioni 5.9 hawakupeleka benki zikaliwa na wajanja wachache.

Wizi wa fedha za Malipo ya Vibarua yasiyostahili Sh. 284,850,00

Halmashauri ya Manispaa ilifanya malipo ya Sh. 284,850,000 kwa ajili ya kuwalipa vibarua wa usafi wa barabara na kuzoa taka. Hata hivyo kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu za malipo kutokana na nyaraka zilizoambatanishwa kuwa na kasoro mbali mbali ikiwamo; hati za malipokutoambatana na daftari la kuonyesha siku walizofanya kazi vibarua; sahihi za vibarua kutofautiana ikilinganishwa kati ya nyaraka za malipo ya vibarua (payroll) moja na nyingine ingawa majina ni yale yale; barabara walizofanyia usafi kutotajwa; kukosekana uthibitisho wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa na wasimamizi wa vibarua husika, unaothibitisha kufanyika kwa zoezi la usafi/kuzoa taka na kukosekana kwa dokezo lililotoka idara tumizi kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji kuomba malipo.
Mbona tunaambiwa kulikuwa hakuna fedha mtaani? Hizi za kifisadi zilikuwa zanaenda wapi?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ningeshangaa sana kinondoni isingekuwepo.
Kinondoni ilikusanya ushuru Bilioni 5.9 hawakupeleka benki zikaliwa na wajanja wachache.

Wizi wa fedha za Malipo ya Vibarua yasiyostahili Sh. 284,850,00

Halmashauri ya Manispaa ilifanya malipo ya Sh. 284,850,000 kwa ajili ya kuwalipa vibarua wa usafi wa barabara na kuzoa taka. Hata hivyo kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu za malipo kutokana na nyaraka zilizoambatanishwa kuwa na kasoro mbali mbali ikiwamo; hati za malipokutoambatana na daftari la kuonyesha siku walizofanya kazi vibarua; sahihi za vibarua kutofautiana ikilinganishwa kati ya nyaraka za malipo ya vibarua (payroll) moja na nyingine ingawa majina ni yale yale; barabara walizofanyia usafi kutotajwa; kukosekana uthibitisho wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa na wasimamizi wa vibarua husika, unaothibitisha kufanyika kwa zoezi la usafi/kuzoa taka na kukosekana kwa dokezo lililotoka idara tumizi kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji kuomba malipo.
 
Majizi hayataisha serikalini , na hiyo ni halmashauri moja, mama Samia una kazi kubwa kupambana na mafisadi na majizi.
 
Kinondoni ilikusanya ushuru Bilioni 5.9 hawakupeleka benki zikaliwa na wajanja wachache.

Wizi wa fedha za Malipo ya Vibarua yasiyostahili Sh. 284,850,00

Halmashauri ya Manispaa ilifanya malipo ya Sh. 284,850,000 kwa ajili ya kuwalipa vibarua wa usafi wa barabara na kuzoa taka. Hata hivyo kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu za malipo kutokana na nyaraka zilizoambatanishwa kuwa na kasoro mbali mbali ikiwamo; hati za malipokutoambatana na daftari la kuonyesha siku walizofanya kazi vibarua; sahihi za vibarua kutofautiana ikilinganishwa kati ya nyaraka za malipo ya vibarua (payroll) moja na nyingine ingawa majina ni yale yale; barabara walizofanyia usafi kutotajwa; kukosekana uthibitisho wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa na wasimamizi wa vibarua husika, unaothibitisha kufanyika kwa zoezi la usafi/kuzoa taka na kukosekana kwa dokezo lililotoka idara tumizi kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji kuomba malipo.
Ninashauri Jafo ajitadhimini .
 
Kinondoni ilikusanya ushuru Bilioni 5.9 hawakupeleka benki zikaliwa na wajanja wachache.

Wizi wa fedha za Malipo ya Vibarua yasiyostahili Sh. 284,850,00

Halmashauri ya Manispaa ilifanya malipo ya Sh. 284,850,000 kwa ajili ya kuwalipa vibarua wa usafi wa barabara na kuzoa taka. Hata hivyo kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu za malipo kutokana na nyaraka zilizoambatanishwa kuwa na kasoro mbali mbali ikiwamo; hati za malipokutoambatana na daftari la kuonyesha siku walizofanya kazi vibarua; sahihi za vibarua kutofautiana ikilinganishwa kati ya nyaraka za malipo ya vibarua (payroll) moja na nyingine ingawa majina ni yale yale; barabara walizofanyia usafi kutotajwa; kukosekana uthibitisho wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa na wasimamizi wa vibarua husika, unaothibitisha kufanyika kwa zoezi la usafi/kuzoa taka na kukosekana kwa dokezo lililotoka idara tumizi kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji kuomba malipo.
 
CAG afanyie pia ukaguzi Wa ile ndege ya Rais iliyotumwa Madagascar kwenda kuchukua juice.

Katoni tano si wangezileta kwa kuwatumia DHL tukaokoa ngwese ya jet,na allowance walizopewa kina kalamagamba.
 
Back
Top Bottom