Muhammad Saad al-Beshi
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 575
- 959
Nikupe pongezi kwa shughuli pevu ya kukagua hesabu za Serikali, bila shaka tumeona ni kiasi gani fedha za Serikali zimepotea pasipo kufikia malengo kusudiwa, nikupongeze kwa hilo.
Katika ukaguzi wako umeona madudu karibu kila sehemu ila cha kushangaza ofisi ya makamu wa Rais hujaigusia kabisa au kule mambo saaaafiii?
Ninachokushauri tu muraa ni kwamba unafiki hautakusaidia lolote na kwa hili Wana Mara umetushusha mno! Haihitaji kuwa na PhD kuelewa kuwa hiyo ripoti yako imejaa uchuro hamna lolote, Watanzania wanaona na muda utaongea.
Katika ukaguzi wako umeona madudu karibu kila sehemu ila cha kushangaza ofisi ya makamu wa Rais hujaigusia kabisa au kule mambo saaaafiii?
Ninachokushauri tu muraa ni kwamba unafiki hautakusaidia lolote na kwa hili Wana Mara umetushusha mno! Haihitaji kuwa na PhD kuelewa kuwa hiyo ripoti yako imejaa uchuro hamna lolote, Watanzania wanaona na muda utaongea.