ibramy
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 642
- 959
Aisee ngoja nisomeshe binti angu!! Labda akikuwa akipata kitengo nae atasaidia ukoo wake...!!! Maana izi raia zinakula maisha sio poa sisi tunalia lia huku wao hata njaa hawaijui ni unafiki kwakwenda mbele ili matumbo yao yashibeMkiambiwa nchi hii ni tajiri muwe mnaelewa jamani, viongozi wanatajirika baada ya muda mfupi sn