CAG kama umo humu naomba unijibu haya maswali

Unateseka ukiwa wap
JPM will remain as the best president Tanzania have had. Ukiwa na akili za kijinga na malaya wa rushwa, ufisadi na wizi wa mali ya umma ndio utasimama na kumtukana Late JPM.

Kimantiki unashangilia upandaji madaraja na nyongeza ya 5000 ya mshahara wakati... ulipopanda hapajaboreshwa na unaendelea kutekeleza majukumu yaleyale..kwa usimamizi uleule refer maafisa magereza wanaorudi kushinda na wafungwa wakiwa na nyota mabegani... unashangilia ongezeko la mishahara wakati gharama za bidhaa bei juu zaidi ya 45% ya bei za kawaida... mfano karanga kilo ilikuwa 1800 leo 2800 mpya 3000 za last year... sijaongelea karatasi ...Rim toka 8000 mpaka 20,000 bado kuna mijitu mijinga na mifisadi kama Zitto, Bi tozo na genge lao la msoga aka anaupigwa mwingi wanamtukana JPM... mbwa kabisa.

Na huyu mama yenu muuongaza vikoba mwisho hii mitano ya marehemu baada ya hapo tutajua cha kufanya.
 
Ila JPM kapiga kazi, hakuna raisi ata moja ataemkaribia
Watajaribu kumuangusha ila haiwezekani maana vitu vyake vinaonekana kila upande
 
JPM alikuwa mtu mzito sana, yaani amemaliza mwaka bado ni mada mitandaoni kila leo.
Leo nilikuwa naongea na mama , anashangaa hawa mateja walijificha wapi maana wizi umerejea hatari mtaani.
Jana gari la tanesco wanaomba ulinzi shirikishi kudhibiti wezi wa mafuta ya transforma.
Nikiangalia jitihada za nape na hii mitaaa naona tunawawekea vyuma mateja mitaani, ni bora tujengee nguzo za zege hazitokatwa na mateja.
Back to topic, JPM bado anaishi mioyoni mwa watu mpaka leo.
Kweli Jiwe bado anaishi mioyoni mwa mazuzu mpaka leo.
 
Mikopo yenye riba kubwa za kibenki.
Kupora pesa za watu binafsi.
Kuiba pesa zote kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Kudhulumu wafanyakazi stahiki zao
Kuzuia ajira mpya kwenye serikali kwa miaka mitano.
Kupora wakulima wa korosho.

Toa ushaidi uliotukuka kutetea unachokisema
 
Hello daraja lilikuwa kwenye 95% wakati jpm anafariki ,ndo hizo 5% mama kamalizia kwa shida kweli .hata njia ya 8 kutoka kimara kibaha ujenz ulikuw kwa 91 lakini huwezi amin mpaka sasa ndo hivyo mradi haumalizilki

Sent using Jamii Forums mobile app
91 ndiyo nini? Mmekaa kusifia tu ovyoovyo, anaendelea kuoza kule Chato. Tangu afariki barabara ya njia nane haijaguswa? Kwanza ali plan kifala kabisa.
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
1) Kwa muda wa miaka mitano JPM amekopa hela nyingi kuliko hela xilizokopwa na watangulizi wake kwa ujumla. Kwa sasa hivi tunatumia trillion 11 kwa mwaka kuservice nadeni
2) Kwa muda wa miaka mitano yote alisitisha nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi kinyume na sheria.
3) Amenyang'anya mali nyingi za wafanyabiashara wakubwa kama vile maduka ya fedha za kigeni.
3) Kawanyang'anya wakulima wa korosho hela yao. Matokeo yake ameshusha kwa kiwango kikubwa uzalishaji wa korosho.
4) Watangulizi wake walifanya zaidi ya hayo tofauti ni kwamba wao hawakushinda barabarani na TBC kutangaza miradi yao.
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
waje na majibu mujwarabuuu
 
Nilikopa world bank kwa ajili ya kuejenga nchi, ila kitu kibaya nilichokifanya nikuwanyima watanzania uhuru wa habari

Nisameheni kwa hilo mimi magufuli raisi wenu, nakumbuka nilitengua uteuzi wa umy mwalimu na kumuondoa kwenye wizara ya afya sababu mimi raisi nilimwambia umy usitoe taarifa ya vifo vya Covid-19
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
GAG mwenyewe nipo hapa, ngoja nikujibu kwa kifupi sana na kitaalamu

Tunaposema magufuli alikuwa mpigajj mkbwa sana tunalinganisha fedha alizokopa na gharama za miladi aliyoanzisha hazishabihani kabisa. Kuna balance mama ya trillions 10 hivi
 
Back
Top Bottom