Bunge kupitia kamati maalum ya kibunge kama ile ya ESCROW au ya RICHMOND ya Dr. Mwakyembe.Hii inaitwa Wishful thinking
nani wakufanya huo uchunguzi ikiwa wafanyauchunguzi ndio watuhumiwa
Prof Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian