Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Dukani kwa Baba Jesca kitabu cha risiti kimepotea, labda mjaribu dukani kwa Mpemba!Ukiuza toa risiti ukinunua dai risiti tunaomba risiti ya 1.5tr baba jesca
Ukiuza toa risiti ukinunua dai risiti tunaomba risiti ya 1.5tr baba jesca
Hili swala mbona halieleweki? Gavana na katibu mkuu hazina wamehojiwa na mkuu Wa nchi wakasema hakuna upotevu wowote nna hazina ipo salama sasa wanahojiwa tena na nani na kuhusu mini??Gavana ana uelewa? au unamzungumzia mstaafu, huyu mmmh?