habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Ukuta wa aina gani mkuu,Hivi tumeshindwa kujenga ukuta hazina mpaka vitabu vya risiti vinapotea?
Huo uliopo hautoshi?
Ukuta wa aina gani mkuu,Hivi tumeshindwa kujenga ukuta hazina mpaka vitabu vya risiti vinapotea?
Prof Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Simuoni wa kumhoji Prof Assad pale mjengoni.......hawa akina Shabiby na Aboud na yule Ayiro?!!........yanaweza yakaibuka mapya maana pale mjengoni wamejaa wafanyabiashara Assad akiwachenjia mambo yatakuwa ni moto!Prof Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Ungejua huko Zitto kafaidikaje. We kweli huwajui Watz. Usanii damuni. Hta Masongange maarufu. Ukiuliza. Ndo utajua TZ usanii. Ila juu mmepata mwanamume. Hamna kazi ni Majungu. Tu. Afu mnataka maendeleo. Nyie mnataka waimba taarabu Sio Maendeleo.
Hahahahah......This is very serious! Bahati mbaya sasa wamepokwa baadhi ya majukumu na RC wa DarZitto Sasa hivi kawekwa kwenye Kamati ya Maendeleo ya Jamii
Kazi yake ni kufuatilia mambo Yale yahusuyo Sayansi kimu ile ya Primary school, kukagua Matundu ya Vyoo kwenye Masoko Na Stendi kuu za Mikoa, Kampeni ya Unyonyeshaji Kwa Wamama na athari za Mimba za Utotoni Kwa Maendeleo ya Mtoto wa Kike!
huoni kuwa anatengeneza kamati ya kumsafisha?Hata mimi nimekwama kabisa kwenye huu Uzi! Nimewaza kama wewe mkuu. Hii kamati ni ya nani hasa? Nina uhakika si Ndugai wala Tulia mwenye uwezo wa kuruhusu hili jambo lichunguzwe. Kama ni ya Mkulu basi JPM anajiamini sana.
zitto mbona unaogopa kumtaja?Simuoni wa kumhoji Prof Assad pale mjengoni.......hawa akina Shabiby na Aboud na yule Ayiro?!!........yanaweza yakaibuka mapya maana pale mjengoni wamejaa wafanyabiashara Assad akiwachenjia mambo yatakuwa ni moto!
Unamanisha Bunge lipi ndugu!Bunge lisimame kidetete
Na atoe maana hili zoezi lilitushughulisha.Ukiuza toa risiti ukinunua dai risiti tunaomba risiti ya 1.5tr baba jesca
Yamegonga kyupi.Lile jambazi mavi yameanza kubana.
Swissme
Prof Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Ha ha haProf Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian