Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,368
- 45,571
Tatizo la maamuzi ya mtu mmoja kushwaga watu 60m na wameinama tu
Fisadi na Katili ...zulumati NSSFMamayo.....
Ebu jaribu kuulizia Bei ya hizo ndege kwa sasa halafu ulinganishe na bei zilizonunuliwa nazo kipindi zinaletwa.
Hizo ndege tayari ni mali ya taifa.
Mama na Msoga watapita ila yupo kiongozi atakayekuja na kuzipa kipaumbele.
Mnaongelea mindege ya ATCL huku mnafurahia helikopta za JPM.