CAG: Dreamliner za ATCL zatia hasara ya Tsh bilioni 23.6

Mamayo.....
Ebu jaribu kuulizia Bei ya hizo ndege kwa sasa halafu ulinganishe na bei zilizonunuliwa nazo kipindi zinaletwa.

Hizo ndege tayari ni mali ya taifa.

Mama na Msoga watapita ila yupo kiongozi atakayekuja na kuzipa kipaumbele.

Mnaongelea mindege ya ATCL huku mnafurahia helikopta za JPM.
Fisadi na Katili ...zulumati NSSF
 
Back
Top Bottom