CAG: DPP amekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 60 na hazijatumika kwa sababu hakuna Sheria ya Matumizi yake

Hizo pesa zenye usikute hayati na kundi lake walishazipiga mapema tu

DPP alifanya majukumu ambayo sio yake na amefanya kinyume na sheria
Hata mimi na wasiwasi kama 'Ntu ya dili' aliziacha salama hizo pesa ndefu za unyang'anyi, alikwisha zipiga mapema sana bila shaka..
 
Hii taarifa simply inamaanisha DPP alikuwa anafanya kazi isiyomhusu na isiyotambulika kisheria, kwa ufupi DPP alikuwa mnyan'ganyi.

Nichukue fursa hii kuwashauri wale wote waliotapeliwa pesa zao na DPP waende mahakamani kudai haki yao, nina hakika kabisa watashinda hizo kesi, watafute mawakili wanaoeleweka tu.

Kama mwendazake angekuwa hai hizo pesa zingeshapata matumizi.
Kuna sheria ya bargaining ambayo inaruhusu mtuhumiwa kufanya makubaliao na DPP. Kama sheria ina mapungufu ni suala ka kufanyiwa maboresho kama sheria zingine zinavyoboreshwa.
 
Taifa pekee duniani ambalo DPP alikuwa ni TRA halafu hela inayopatikana inaishia kwenye ufisadi!🚶🚶🚶
 
Kuna sheria ya bargaining ambayo inaruhusu mtuhumiwa kufanya makubaliao na DPP. Kama sheria ina mapungufu ni suala ka kufanyiwa maboresho kama sheria zingine zinavyoboreshwa.
Nafikiri ilitungwa na marehemu..
 
Hii taarifa simply inamaanisha DPP alikuwa anafanya kazi isiyomhusu na isiyotambulika kisheria, kwa ufupi DPP alikuwa mnyan'ganyi.

Nichukue fursa hii kuwashauri wale wote waliotapeliwa pesa zao na DPP waende mahakamani kudai haki yao, nina hakika kabisa watashinda hizo kesi, watafute mawakili wanaoeleweka tu.

Kama mwendazake angekuwa hai hizo pesa zingeshapata matumizi.
Kwan unadhan hazijatumika?
Hizo pesa zimeshatumika kitambo

Ila kwa kua zilitumika kwa kauli za mtu, hapa kinachotafutwa ni uhalali wa

DPP kufutiliwa mbali,baada ya kushindwa kuzirudisha hizi Pesa, au kutozitolea maelezo


Yaaan mpaka sasa DPP moyo unadunda.
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Billion 60 mkuu hazijengi hata mabarabara mkuu. Zinaweza kujenga kabarabara kamoja kiwango cha lami kasikokua na complications za madaraja mengi
Sema nini mbona naona kama chache sana kwa jinsi nilivyoanza kusikia toka DPP anapukutisha watu. Ila sio hata ni bora zipelekwa kwenye ujenzi wa madarasa itakua nafuu kidogo tusije kufanya kwa mtindo wa "zima moto" tena mwezi January hadi kuanza kuchangisha wanachi kea lazima kama vile hatujui idadi ya watoto wetu walio darasa la saba
 
Hii taarifa simply inamaanisha DPP alikuwa anafanya kazi isiyomhusu na isiyotambulika kisheria, kwa ufupi DPP alikuwa mnyan'ganyi.

Nichukue fursa hii kuwashauri wale wote waliotapeliwa pesa zao na DPP waende mahakamani kudai haki yao, nina hakika kabisa watashinda hizo kesi, watafute mawakili wanaoeleweka tu.

Kama mwendazake angekuwa hai hizo pesa zingeshapata matumizi.

Kitu ambacho hakipo kisheria; na wao walikubalije kufanya malipo kwa plea bargain kinyume cha sheria?
Nadhani hawawezi kushinda na kurejeshewa pesa zao, na hata wakishinda, itakuwa ni mwanzo mwingine wa kusikilizwa kwa tuhuma zao upya. Obvious hawako tayari kwa hilo.
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Mkuu utakuwa wewe ndo ulikuwa mwandishi wa hotuba zile.

Nakutakia maandalizi mema ya Sabato.
 
Hii ripoti ya CAG imetuonyesha,kutufundisha na kutuonya kuwa tunahitaji taasisi imara na siyo mtu mmoja mwizi na fisadi anayejidai na kujinadi imara.
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna watu mlikua mnamchora sana "Mwendazake"
 
CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.

CAG amelishauri Bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Ziende kijijini kwenye shule za wale watoto wanaokaa chini...
 
CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.

CAG amelishauri Bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Apigwe uhujumu uchumi huyu mjinga
 
Kule Uingereza mtu akifa bila kuacha wosia na hana next of kin hela zake huchukuliwa na crown yaani zinakuwa za umma. Pamoja na ushamba wangu siwezi kuona ni jinsi gani faini inayolipwa mahakamani ikose matumizi. Zineanza leo? Tutayajua mengi, lete butamu.
Hii nchi ni zaidi ya shamba la bibi yaani ni kama choo cha stand kila mtu anaingia na kutoka
 
Back
Top Bottom