Huyu naye ni mtoto wa dadake marehemu mfalme juhaCAG Kichere amesema Mkurugenzi wa mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.
CAG amelishauri bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Kwani zikipelekwa Hazina na zikaingizwa kwenye mfumo wa matumizi wa kawaida kama mapato mengine, kuna shida? Kutaka Bunge ndio litoe maelekezo ya kutumia hizi pesa, ni dalili ya kutaka kuzipiga?
,kama vile namuona live kupitia luninga ya TBC,Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake
Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Ha ha ha ha,kama vile namuona live kupitia luninga ya TBC,
Hiv wale wa kusamehewa makosa kwa malipo, ndo walikuwa walizilipa kwake?Hii taarifa simply inamaanisha DPP alikuwa anafanya kazi isiyomhusu na isiyotambulika kisheria, kwa ufupi DPP alikuwa mnyan'ganyi.
Nichukue fursa hii kuwashauri wale wote waliotapeliwa pesa zao na DPP waende mahakamani kudai haki yao, nina hakika kabisa watashinda hizo kesi, watafute mawakili wanaoeleweka tu.
Kama mwendazake angekuwa hai hizo pesa zingeshapata matumizi.
Mimi nimecheka sana yaani eti kaa tu DPP,kama vile namuona live kupitia luninga ya TBC,
Aisee......nimesoma hii post huku nikicheka. Uligusa mile mule.Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake
Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Itakua ndiyo zenyewe Mkuu.Hizo si ndio zilienda kufichwa CHINA kwa Kairuki?
Hizo ni fedha haramu, rudisheni mlikozitoa.CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.
CAG amelishauri bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Yaani jamaa kapita mulemuleMimi nimecheka sana yaani eti kaa tu DPP
Kaa tu DPP 🤣Mimi nimecheka sana yaani eti kaa tu DPP
Mahakama ipi Dpp anafanya?Kule Uingereza mtu akifa bila kuacha wosia na hana next of kin hela zake huchukuliwa na crown yaani zinakuwa za umma. Pamoja na ushamba wangu siwezi kuona ni jinsi gani faini inayolipwa mahakamani ikose matumizi. Zineanza leo? Tutayajua mengi, lete butamu.
Nadhani si kwamba zimeshindwa kutumika ni kwamba CAG kazikuta akapewa huo utetezi ila zilikuwa na kazi.Kuna wakati Zitto alisema hakuna sheria ya plea bargaining Tanzania. Kama ni kweli hizo pesa zimekaa kimtego ndio maana hata wao wameshindwa kuzitumia, utashangaa siku wanaibuka wanasheria kuanza kuzidai.
Daaah kuna watu mnajua jinsi Ya kuenda na tune za watu aisee, kama namuona live vile .Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake
Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana