CAG: DPP amekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 60 na hazijatumika kwa sababu hakuna Sheria ya Matumizi yake

Kwanini hawajazipeleka kwenye akaunt ya gvt na zikapata matumizi
 
CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.

CAG amelishauri bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Huyu naye ni mtoto wa dadake marehemu mfalme juha
 
Kuna wakati Zitto alisema hakuna sheria ya plea bargaining Tanzania. Kama ni kweli hizo pesa zimekaa kimtego ndio maana hata wao wameshindwa kuzitumia, utashangaa siku wanaibuka wanasheria kuanza kuzidai.
Kwani zikipelekwa Hazina na zikaingizwa kwenye mfumo wa matumizi wa kawaida kama mapato mengine, kuna shida? Kutaka Bunge ndio litoe maelekezo ya kutumia hizi pesa, ni dalili ya kutaka kuzipiga?
 
Hongera DPP FEdha hizo zitumike kujenga vituo vya afya na hospitali
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
,kama vile namuona live kupitia luninga ya TBC,
 
Hii taarifa simply inamaanisha DPP alikuwa anafanya kazi isiyomhusu na isiyotambulika kisheria, kwa ufupi DPP alikuwa mnyan'ganyi.

Nichukue fursa hii kuwashauri wale wote waliotapeliwa pesa zao na DPP waende mahakamani kudai haki yao, nina hakika kabisa watashinda hizo kesi, watafute mawakili wanaoeleweka tu.

Kama mwendazake angekuwa hai hizo pesa zingeshapata matumizi.
Hiv wale wa kusamehewa makosa kwa malipo, ndo walikuwa walizilipa kwake?
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Aisee......nimesoma hii post huku nikicheka. Uligusa mile mule.
 
Kwahiyo hii inamaana magufuli alikuwa anavunja sheria. Tunaendelea kuhesabu!
 
CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.

CAG amelishauri bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Hizo ni fedha haramu, rudisheni mlikozitoa.
 
Kichere apewe ulinzi mara dufu haraka. Wale watu wasiojulikana bado wapo by the way...
 
Dah... Katika hizo kuna 60mil za best friend wangu. Utawala wa Jiwe uliumiza sana watu
 
Kule Uingereza mtu akifa bila kuacha wosia na hana next of kin hela zake huchukuliwa na crown yaani zinakuwa za umma. Pamoja na ushamba wangu siwezi kuona ni jinsi gani faini inayolipwa mahakamani ikose matumizi. Zineanza leo? Tutayajua mengi, lete butamu.
Mahakama ipi Dpp anafanya?
 
Kuna wakati Zitto alisema hakuna sheria ya plea bargaining Tanzania. Kama ni kweli hizo pesa zimekaa kimtego ndio maana hata wao wameshindwa kuzitumia, utashangaa siku wanaibuka wanasheria kuanza kuzidai.
Nadhani si kwamba zimeshindwa kutumika ni kwamba CAG kazikuta akapewa huo utetezi ila zilikuwa na kazi.
 
Hazijatumika siyo kwa sababu ya sheria ni kwa sababu aliyezitaka kaondoka angekuwepo wala asingehitaji sheria yangekuwa maelekezo tu, Nampongeza sana tena kwa dhati ya moyo wangu DPP, amefanya kazi nzuri sana (wasikilizaji wanapiga makofi, DPP ananyanyuka na kuinama) kaa tu DPP, amekusanya ndani ya miezi 4, 60B hizi ni fedha za watanzani maskini zilichukuliwa na wachache ila kwa sheria tuliyoipitisha bungeni na kwa hili nimpongeze Spika mtani wangu kwa kuhakikisha sheria inakamilika na tumeifanyizia kazi na haya leo ndiyo matunda yake

Sasa naelekeza hizo bilioni 60 zipelekwe Tanroads zikajenge mabarabara na madaraja na miundombinu mingine watu wa hazina mlisimamie hili kikamilifu(makofi), au nimefanya vibaya ndugu zangu, Asanteni sana
Daaah kuna watu mnajua jinsi Ya kuenda na tune za watu aisee, kama namuona live vile .
Daah mungu amuweke mahali anapostahili huko alipo
 
Back
Top Bottom