Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Ripoti ya CAG inatanabaisha sintofahamu kuhusu UTARATIBU wa ujenzi wa Bwawa la umeme la Nyerere mto Rufiji.. mfano,
1. Ujenzi wa bwawa ULISIMAMA KWA MIEZI MI(5) Baada ya kuta za bwawa kugharikishwa na maji. Sababu iliyobainishwa na CAG ni kuwa plan ya ujenzi ya 2017 ilitaka mikondo miwili ya kuchepushia maji(lita elfu7/sekunde) lakini ukajengwa mkondo mmoja kuchepusha lita elfu6 hali iliyopelekea ukuta kuzidiwa na kubomoka na kazi kusimama miezi mi5!
Walipoulizwa kwanini hawakufuata plan ya awali,2017 wahandisi walidai WANATAKA KUHARAKISHA MRADI!
2. Tanesco kama mmiliki wa Mradi ndio haohao wametoa mhandisi mshauri!
3. Inaonekana utaratibu wa ujenzi haufuati plan ya awali bali ni kuplan section flan na kujenga hapo hapo!(design and construct)!
4. Upembuzi yakinifu unaotumika ni uliofanyika miaka ya 1970, bila kuhuishwa kujua hali ya sasa kama athali za kimazingira za sasa!
Hayo ni baadhi tu ya mengi kuhusu Ujenzi wa Bwawa. Mwendo ukiwa huu wa kuplan ujenzi unavyoendelea basi kuna shaka juu ya usalama wa mradi na wa wananchi maeneo hayo na shaka juu ya tija ya mradi wenyewe!
1. Ujenzi wa bwawa ULISIMAMA KWA MIEZI MI(5) Baada ya kuta za bwawa kugharikishwa na maji. Sababu iliyobainishwa na CAG ni kuwa plan ya ujenzi ya 2017 ilitaka mikondo miwili ya kuchepushia maji(lita elfu7/sekunde) lakini ukajengwa mkondo mmoja kuchepusha lita elfu6 hali iliyopelekea ukuta kuzidiwa na kubomoka na kazi kusimama miezi mi5!
Walipoulizwa kwanini hawakufuata plan ya awali,2017 wahandisi walidai WANATAKA KUHARAKISHA MRADI!
2. Tanesco kama mmiliki wa Mradi ndio haohao wametoa mhandisi mshauri!
3. Inaonekana utaratibu wa ujenzi haufuati plan ya awali bali ni kuplan section flan na kujenga hapo hapo!(design and construct)!
4. Upembuzi yakinifu unaotumika ni uliofanyika miaka ya 1970, bila kuhuishwa kujua hali ya sasa kama athali za kimazingira za sasa!
Hayo ni baadhi tu ya mengi kuhusu Ujenzi wa Bwawa. Mwendo ukiwa huu wa kuplan ujenzi unavyoendelea basi kuna shaka juu ya usalama wa mradi na wa wananchi maeneo hayo na shaka juu ya tija ya mradi wenyewe!