CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Ripoti za Kimataifa zinaonesha Mashirika mengi ya ndege katika Afrika yamekuwa yakijiendesha kwa hasara sana.

Ripoti za CAG 2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3, mwaka 2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3 wakati mwaka 2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.

Hii ya bilioni 60 ni kama imepungua sana.
Mkuu tazama vizuri Victor Mlaki

Ripoti za CAG
2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3,
2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3
2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.

Swali 109.3 >> 113 imepungua!!!
 
Hiyo hasara tunayoiona ni pamoja na mianya ya upigaji kubanwa.
Mnalikumbuka lile dili la kwenda kuchora nembo ya twiga nje ya Nchi?..lingefanikiwatungekuwa tunanusa hasara ya bilioni Mia mbili 200 na kidogo.
 
Yaani hivi sasa nawaza kwa sauti,"hivi huyu CAG hii ripoti angeisoma mbele ya al marhum magufuri kuhusiana na hasara iliyoleta midege yake mpaka saa hii bado angekuwa kazini au angekuwa kijijini kwake"?
Magufuli alikuwa very smart and fair kwa
anaowateua fuatilia kila aliyemchomoa alikuwa na genuine reason.
 
Yaani hivi sasa nawaza kwa sauti,"hivi huyu CAG hii ripoti angeisoma mbele ya al marhum magufuri kuhusiana na hasara iliyoleta midege yake mpaka saa hii bado angekuwa kazini au angekuwa kijijini kwake"?
Kweli Magufuli ni shujaa, kusimama jukwaani na kusema ndege zinaleta faida kubwa kwa mauzo haya?

Victor Mlaki

Ripoti za CAG
2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3,
2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3
2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.
 
Airways.PNG



Wakongwe hao Kenya Airways na hasara yao ya bilioni 750. Shirika linakuwa kwa sasa baada ya kuhuishwa upya obvious expenses zitakuwa juu, changamoto ya kisekta kutokana na ugonjwa etc
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Wale walikuwa makada hawalipi nauli
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Hasara tena🥱🥱🥱🥱🥱au Ni mabeberu
 
Unaweza mpeleka n’gombe mpaka kwenye maji, lakini uwezi mlazimisha kuyanywa.

Uwekezaji kwenye air Tanzania ulikuwa ni matumizi mabaya kwa sababu za return on investment tu. Inachukua zaidi ya miaka 5 mpaka10 kwa kila ndege kulipa uwekezaji wa awali pale ambapo shirika linapotengeneza faida.

Ukiangalia limited resources na investment nyingine zenye faida kwa jamii na kukuza mapato ya serikali ndege sio kipaumbele.

Na Magufuli alifanya kwa nia njema kwakweli, unaweza mlaumu kwa kununua ndege ila sio kwa shirika kupata hasara.

Kama raisi aliwanunulia ndege on cash na bado wana pata hasara that is a management issue uwezi laumu good will gesture serikali iliyowafanyia.

Watu walishasema ukimsikiliza yule mkurugenzi he doesn’t look the part, busara ni kuwalazimisha sasa watoe audited ‘financial statement’ walau watanzania waone tatizo liko wapi haswa.
Serikali ingeachana na mambo ya kufanya biashara, waachie sekta binafsi. Hiyo ndyo solution ya Kudumu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
ATCL si zilikuwa zinafanya international flights kama
Johannesburg
Mumbai
Guangzhou
Bunjumbura
Entebe

Imekuaje tana mnasema ilikuwa haifanyi international flights???? Jibu tafadhali
 
ATCL si zilikuwa zinafanya international flights kama
Johannesburg
Mumbai
Guangzhou
Bunjumbura
Entebe

Imekuaje tana mnasema ilikuwa haifanyi international flights???? Jibu tafadhali
Hakukua na mpango wowote wa biashara,'yaani business plan'
 
Back
Top Bottom