Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,831
- 33,219
Mkuu tazama vizuri Victor MlakiRipoti za Kimataifa zinaonesha Mashirika mengi ya ndege katika Afrika yamekuwa yakijiendesha kwa hasara sana.
Ripoti za CAG 2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3, mwaka 2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3 wakati mwaka 2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.
Hii ya bilioni 60 ni kama imepungua sana.
Ripoti za CAG
2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3,
2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3
2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.
Swali 109.3 >> 113 imepungua!!!